WANA DMV WAJITOKEZA KUMPA POLE STEVE MSUNGU.
Kushoto Bw.Tumaini Katule akiwa kwenye kumfariji mfiwa Bw.Stephen Msungu nyumbani kwake Savern Md.Ijumaa Februari 20,2015. Steve amefiwa na baba yake mzazi Mzee Peter Msungu aliyefariki Ijumaa February 20 jijini Daressalaam Tanzania.
Baadhi ya wakazi wa DMV Kie, Edda, Mametha na Melissa waliojitokeza msibani kuwafariji wafiwa.
Hidaya Mahita.
Kenny na Neema .
Melissa.
Stephen,Vitalis na Vincent.
Elinita.
Kie na Edda.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboWATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA
Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...
10 years ago
Bongo518 Sep
New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)
10 years ago
Vijimambo14 Nov
KADI ZA KUMPA POLE RAIS JAKAYA KIKWETE ZIPELEKWE UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC,
![](http://www.sar-el.org/wp/wp-content/uploads/get-well-soon.jpg)
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
Steve Nyerere Amtumia Kajala Salamu za Pole kwa Kuugua
Leo kupitia mtandaoni, mwigizaji na mwenyetiki wa Bongo Movies aliejiuzulu, Steve Nyerere amempa pole na kumtakia afya njema mwigizaji Kajala Masanja ambae anaumwa tokea majuzi.
"Napenda kukupa pole kwa kuumwa Kajala tupo pamoja naimani mungu atakusaidia na utapona na kuendelea na majukumu kama mama pole kajala pole masanjaaaaa pole sana" .
Steve aliandika mara baada ya kuweka picha ya kajala.
Nasi pia tunaungana na wadau wote pamoja na mashabiki wote kukupa pole na kukuombea upone...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-50w3ZwM6Mv8/VeErptPTN4I/AAAAAAAC-L8/F3RAVeRU4TY/s72-c/_MG_7722.jpg)
MAGUFULI AMJULIA HALI NA KUMPA POLE MEYA WA JIJI LA MBEYA MH ATHANAS KAPINGA BAADA YA KUPATA AJALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-50w3ZwM6Mv8/VeErptPTN4I/AAAAAAAC-L8/F3RAVeRU4TY/s640/_MG_7722.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-buKP4HAkcM0/VeErpdi_IRI/AAAAAAAC-L4/lsNfQRC2C6I/s640/_MG_7734.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii
10 years ago
Vijimambo15 Nov
MCHAMA CHA MAPINDUZI .DMV MAREKANI SALAAM ZA POLE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-NT4mZsrufnk%2FVGcEXuJuAqI%2FAAAAAAADNBg%2FbYJjnfydsHU%2Fs1600%2Fimage%252B(2).png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
GPLWATANZANIA DMV WATOWA POLE KWA WAFIWA