Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANA DMV WAJITOKEZA KUMPA POLE STEVE MSUNGU.

IMG_0482Kushoto Bw.Tumaini Katule akiwa kwenye kumfariji mfiwa Bw.Stephen Msungu nyumbani kwake Savern Md.Ijumaa Februari 20,2015. Steve amefiwa na baba yake mzazi Mzee Peter Msungu aliyefariki Ijumaa February 20 jijini Daressalaam Tanzania. IMG_0470Baadhi ya wakazi wa DMV Kie, Edda, Mametha na Melissa waliojitokeza msibani kuwafariji wafiwa. IMG_0477Hidaya Mahita. IMG_0481Kenny na Neema . IMG_0484Melissa. IMG_0487Stephen,Vitalis na Vincent. IMG_0478Elinita. IMG_0479Kie na Edda.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA


Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa  ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)

Baada ya tour ndefu za nje ya nchi akiwa na bendi ya In Africa, mwimbaji wa RnB Tanzania, leo September 18th, 2014, ameachia single yake mpya inayoitwa ‘Pole Pole’ ambayo iko kwenye midundo ya Reggae (Tropical Riddim). Isikilize

 

10 years ago

Vijimambo

KADI ZA KUMPA POLE RAIS JAKAYA KIKWETE ZIPELEKWE UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC,

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umewaomba Watanzania na wale wote watakaopenda kuandika kadi za kumpa pole na kumtakia Mhe. Rais Profesa Jakaya Kikwete apone haraka, Ubalozi uneomba kadi zote zipelekwe Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulipo 2232 22nd St NW, Washington, DC 20037 na wao watamfikishia kadi yako Mhe. Rais kwa haraka iwezekanavyo na pia unaweza kumtumia ujumbe wa SMS Mhe, Rais Profesa jakaya Kikwete katika simu yake namba 646 309 2295 wa kumpa pole na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Steve Nyerere Amtumia Kajala Salamu za Pole kwa Kuugua

Leo kupitia mtandaoni, mwigizaji na mwenyetiki wa Bongo Movies aliejiuzulu, Steve Nyerere amempa pole  na kumtakia afya njema mwigizaji Kajala Masanja ambae anaumwa tokea majuzi.

"Napenda kukupa pole kwa kuumwa Kajala tupo pamoja naimani mungu atakusaidia na utapona na kuendelea na majukumu kama mama pole kajala pole masanjaaaaa pole sana" .

Steve aliandika mara baada ya kuweka picha ya kajala.

Nasi pia tunaungana na wadau wote pamoja na mashabiki wote kukupa pole na kukuombea upone...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AMJULIA HALI NA KUMPA POLE MEYA WA JIJI LA MBEYA MH ATHANAS KAPINGA BAADA YA KUPATA AJALI

  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Ndugu John Pombe Magufuli akimjulia hali na kumpa pole aliyekuwa Meya wa jiji la Mbeya Mh.Athanas Kapunga aliyepata ajali wilayani Momba mkoani Mbeya wakati wa mbio za maandalizi ya Kampeni hivi karibuni,Mh Kapunga amelazwa kwenye chumba maalum cha wagonjwa  mahututi (ICU) katika hospitali ya Rufaa mjini humo. Mmoja wa Wauguzi walioko kwenye chumba maalum cha wagonjwa  mahututi (ICU),akimpa maelezo...

 

10 years ago

Michuzi

Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii

Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa namba yake maalumu kwa ajili ya Wananchi kumjulia hali na kumpa pole,ambapo atapokea ujumbe wako na kuujibu.

 

10 years ago

Vijimambo

MCHAMA CHA MAPINDUZI .DMV MAREKANI SALAAM ZA POLE

MH Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano waTanzania na Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Tunakupa pole na tunakutakia afya njema Mwenye Enzi MUNGU akuponye haraka uzidi kulitumikia Taifa letu la Tanzania Mpendwa Rais wetu tunakuombea upate Nguvu haraka na urudi Nyumbania Salama Watanzania tunakusubiriWaTanzania wote wanachama wote wa CCM Wana DMV Marekani wanachama Wote wa CCM Marekan Tupo pamoja nawe kwenye kipindi hiki cha Matibabu yako Ahasante

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA DMV WATOWA POLE KWA WAFIWA‏

 Watanzania wa DMV wakijumuika na wafiwa nyumbani kwa marehemu.
 Catherine Nyangole mwenye kilemba cheusi pamoja na WanDMV wakimpa pole mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera nyumbani kwa marehemu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani