MCHAMA CHA MAPINDUZI .DMV MAREKANI SALAAM ZA POLE
MH Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano waTanzania na Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Tunakupa pole na tunakutakia afya njema Mwenye Enzi MUNGU akuponye haraka uzidi kulitumikia Taifa letu la Tanzania Mpendwa Rais wetu tunakuombea upate Nguvu haraka na urudi Nyumbania Salama Watanzania tunakusubiriWaTanzania wote wanachama wote wa CCM Wana DMV Marekani wanachama Wote wa CCM Marekan Tupo pamoja nawe kwenye kipindi hiki cha Matibabu yako Ahasante
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA DMV MAREKANI

11 years ago
GPLWATANZANIA DMV WATOWA POLE KWA WAFIWA
 Watanzania wa DMV wakijumuika na wafiwa nyumbani kwa marehemu.
 Catherine Nyangole mwenye kilemba cheusi pamoja na WanDMV wakimpa pole mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera nyumbani kwa marehemu.…
10 years ago
Vijimambo21 Feb
WANA DMV WAJITOKEZA KUMPA POLE STEVE MSUNGU.








11 years ago
Michuzi01 Nov
JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA DAR ES SALAAM YAZINDUA DAFTARI LA WANACHAMA WAKE
10 years ago
Michuzi27 Feb
5 years ago
Michuzi
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIJINI DODOMA


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020.







10 years ago
Vijimambo
SALAAM ZA POLE

CHAMA CHA MAPINDUZI D M V MAREKANI Kwa niaba ya C C M Tawi la Washington DC Virginia na Maryland ...
10 years ago
Michuzi.jpg)
klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
Umoja wa klabu za michezo za maveterani Dar es salaam, chini ya uratibu wa klabu za Singasinga na Tazara, unatangaza rasmi kwamba shughuli ya kurehemu wanachama wenzetu ambao wametangulia mbele ya haki itafanyika JUMATATU 12/1/2015, ikiwa pia ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Mapinduzi.
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
10 years ago
Michuzi
CHADEMA WATOA SALAAM ZA POLE NA RAMBIRAMBI MSIBA WA MUFTI MKUU SHEIKH SIMBA

Akitoa salaam za pole na rambirambi kwa waumini wa madhehebu ya Kiislamu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania