Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA DMV MAREKANI

Tumepokea kwa msituko na huzuni kubwa habari ya kifo cha Mh Dr Abdallah Kigoda Mbunge wa Jimbo la Handeni na Waziri wa Viwanda na biashara kilichotokea leo Tunatopoa pole kwa familia yote Wananchi wa Jimbo la Handeni Na WaTanzania wote Tunamuomba MWENYE ENZI MUNGU AMWEKE MAHALI PEMA PEPONI. AMINA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

PONGEZI KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI- TAWI LA CALIFORNIA

http://radiombao.com/wp-content/uploads/2014/01/Chama-Cha-Mapinduzi.jpgCCM- Tawi la California- Tunapenda kukipongeza chama chetu kupitia Mwenyekiti  Mh Jakaya Mrisho Kikwete kwa kupata ushindi mkubwa wa kiti cha Urais ambapo mgombea wetu Mh. Dr John Pombe Magufuli na mgombea mwenza Mh. Samia Suluhu wameibuka na ushindi mzito.Kuzingatia na ushindani mkubwa uliokuwepo na changamoto nyingi uchaguzi huu ulikuwa mgumu. Lakini sera nzuri za chama chetu zilizopelekwa kwa wananchi na wagombea wetu zimewezesha wananchi kuendelea kutuamini na kutupa tena kijiti cha...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA MWAKA 2014

CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA KINAPENDA KUWATANGAZIA WANACHAMA NA WAPENZI WOTE WA CCM KUTOKA PANDE ZOTE ZA UINGEREZA KWAMBA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUU WA TAWI TAREHE 30.08.2014.
KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI MPYA WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI ILIYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU MAINA OWINO ANAYENG’ATUKA KATIKA NAFASI HIYO.
WANACHAMA WOTE WENYE SIFA MNAKARIBISHWA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO YA...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHAMA CHA MAPINDUZI .DMV MAREKANI SALAAM ZA POLE

MH Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano waTanzania na Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Tunakupa pole na tunakutakia afya njema Mwenye Enzi MUNGU akuponye haraka uzidi kulitumikia Taifa letu la Tanzania Mpendwa Rais wetu tunakuombea upate Nguvu haraka na urudi Nyumbania Salama Watanzania tunakusubiriWaTanzania wote wanachama wote wa CCM Wana DMV Marekani wanachama Wote wa CCM Marekan Tupo pamoja nawe kwenye kipindi hiki cha Matibabu yako Ahasante

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIJINI DODOMA


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akicheza Wimbo wa Hamasa ya maendeleo pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020 kabla ya kuanza kwa...

 

10 years ago

Michuzi

UJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR

Mjumbe wa Kamati ya CCM Taifa Bi. Khadija Hassan Aboud akimkaribisha Mbunge ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha FRELIMO cha Msumbiji Bi. Nyeleti Mondlane Ofisi kuu ya CCM Zanzibar. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha FRELIMO cha Msumbiji Bi. Nyeleti Mondlane akisaini kitabu cha wageni alipofika Ofisi kuu ya CCM Zanzibar (kulia) Katibu wa FRELIMO Zanzibar Bw. Agostino Andrea. Kiongozi wa Ujumbe wa Chama cha FRELIMO Bi. Nyeleti Mondlane (watatu kushoto) akibadilishana mawazo na...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.

unnamed (4)Katibu wa CCM Mkoa Mjini Mohammed Omar Nyawenga akitoa taarifa ya Chama hicho kwa Waandishi wa Habari kuhusu kujitoa ndani ya Chama Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa katika mkutano uliofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.unnamed (5)Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mjini Borafia Silima akitoa ufafanuzi katika mkutano uliohudhuriwa na wajumbe wa ngazi mbali mbali za Chama na waandishi wa Habari Afisi kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.
unnamed (6)Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakifuatilia mkutano huo...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI PROF. PARAMAGAMBA KABUDI AKUTANA NA KATIBU WA SIASA NA UENEZI WA TAWI LA CCM LA DMV, WASHINGTON DC SALMA MOSHI NCHINI MAREKANI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi akisalimiana na Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi (CCM) la DMV Washington DC, Ndugu  Salma Moshi walipokutana nchini Marekani, jana.

 

10 years ago

Vijimambo

SIKU ZITTO ALIPOJIUNGA NA CHAMA CHA ACT TAWI LA TAGETA

Mhe. Ziti Kobwe akiwasili katika viwanja wa Ofisi ya Chama cha ACT Tawi la Tegeta kwa ajili ya kujiunga rasmin na Chama hicho na kukabidhiwa Kadi yake ya Uwanachama. Mhe Kabwe akijaza Fomu yake ya kujiunga na Chama cha ACT alipowasili katika Tawi la ACT Tegeta jana. ili kujiunga rasmin na Chama hicho. Wanachama wa Chama cha ACT wakimshindikiza Mhe Kabwe alipofika katika Tawi la ACT Tegeta kujiunga na Chama hicho wakiwa katika Ofisi hizo huko Tegeta.Mhe Kabwe akilipa Ada ya Uanachama wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani