Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA MWAKA 2014

CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA KINAPENDA KUWATANGAZIA WANACHAMA NA WAPENZI WOTE WA CCM KUTOKA PANDE ZOTE ZA UINGEREZA KWAMBA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUU WA TAWI TAREHE 30.08.2014.
KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI MPYA WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI ILIYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU MAINA OWINO ANAYENG’ATUKA KATIKA NAFASI HIYO.
WANACHAMA WOTE WENYE SIFA MNAKARIBISHWA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO YA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA KUFANYIKA AGOSTI 30, 2014.

CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA LINAPENDA KUWATANGAZIA WANACHAMA NA WAPENZI WOTE WA CCM KUTOKA PANDE ZOTE ZA UINGEREZA KWAMBA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUU WA TAWI TAREHE 30.08.2014 UTAKAOFANYIKA KATIKA JIJI LA READING KATIKA ANUANI IFUATAYO;THE PAVILION (FORMERLY RILEYS CLUB)143 – 145 OXFORD ROAD READINGRG1 7UP
KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU...

 

11 years ago

GPL

SALAMU ZA PASAKA 2014 TOKA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA

Chama  Cha Mapinduzi- London – Uingereza  kinaridhia Salaam za CCM Makao Makuu kuungana na Wakristo- Watanzania na Ulimwenguni kote  kuwatakia kila la kheri na fanaka katika kusherehekea Sikuu Kuu ya PASAKA 2014. Aidha CCM UK  inayo imani kubwa kuwa Sherehe hii ya Pasaka itakuwa kigezo cha kuwakaribisha Watanzania wa Imani zote kujitazama kwa wongufu na kuridhia misingi mikuu ya Uhuru, Muungano wetu na Umoja wa...

 

9 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA DMV MAREKANI

Tumepokea kwa msituko na huzuni kubwa habari ya kifo cha Mh Dr Abdallah Kigoda Mbunge wa Jimbo la Handeni na Waziri wa Viwanda na biashara kilichotokea leo Tunatopoa pole kwa familia yote Wananchi wa Jimbo la Handeni Na WaTanzania wote Tunamuomba MWENYE ENZI MUNGU AMWEKE MAHALI PEMA PEPONI. AMINA

 

9 years ago

Vijimambo

PONGEZI KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI- TAWI LA CALIFORNIA

http://radiombao.com/wp-content/uploads/2014/01/Chama-Cha-Mapinduzi.jpgCCM- Tawi la California- Tunapenda kukipongeza chama chetu kupitia Mwenyekiti  Mh Jakaya Mrisho Kikwete kwa kupata ushindi mkubwa wa kiti cha Urais ambapo mgombea wetu Mh. Dr John Pombe Magufuli na mgombea mwenza Mh. Samia Suluhu wameibuka na ushindi mzito.Kuzingatia na ushindani mkubwa uliokuwepo na changamoto nyingi uchaguzi huu ulikuwa mgumu. Lakini sera nzuri za chama chetu zilizopelekwa kwa wananchi na wagombea wetu zimewezesha wananchi kuendelea kutuamini na kutupa tena kijiti cha...

 

9 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUU WA 15 WA MWAKA WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU WA AFRIKA MASHARIKI


MKUTANO UTAHUDHURIWA NA MAJAJI NA MAHAKIMU KUTOKA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,MHE. DR. JAKAYA MRISHO KIKWETENDIYE MGENI RASMI ATAKAYEFUNGUA MKUTANO HUO.

KAULIMBIU YA MKUTANO NI:

KUIMARISHA IMANI YA UMMA KWA MAHAKAMA

WAKATI WA MKUTANO KUTAKUWA NA MAONYESHO JUU YA HUDUMA MBALIMBALI ZINAZOTOLEWA NA MAHAKAMA YA TANZANIA. WOTE MNAKARIBISHWA

AIDHA MKUTANO HUO UTAFUATIWA NA MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU WA TANZANIA(JMAT) UTAKAOFANYIKA TAREHE 29 AGOSTI...

 

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA CHAPATA MWENYEKITI MPYA

KAPINGA KANGOMA MWENYEKITI MPYA CCM UK - AIBUKA NA USHINDI WA KISHINDO  WA ASILIMIA 94.6% YA KURA ZOTE HALALI.
Aanza kwa kuunda timu itakayounda upya Jumuiya ya Watanzania UK na kuhusisha wadau wote;Azungumzia suala la uraia pacha na Rais Ajaye katika uchaguzi 2015;Kuunda Saccoss ya watanzania UK na Jumuiya ya Wanawake.Na Abraham Sangiwa Itikadi Siasa na Uenezi - CCM – UNITED KINGDOM. Mwenyekiti Mpya wa CCM UK Ndugu Kapinga Kangoma akitoa nasaha na shukrani zake. Mwenyekiti Mstaafu wa CCM UK Ndugu...

 

5 years ago

CCM Blog

RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020


RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020


1.0.          URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

NA

TAREHE

SHUGHULI/MAELEZO

1

15 – 30/06/2020

Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.

2

15 – 30/06/2020

Kutafuta wadhamini Mikoani.

VIKAO VYA UCHUJAJI

3

06 – 07/07/2020

...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani