WAZIRI PROF. PARAMAGAMBA KABUDI AKUTANA NA KATIBU WA SIASA NA UENEZI WA TAWI LA CCM LA DMV, WASHINGTON DC SALMA MOSHI NCHINI MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gWR_XKF5Ts4/XmTb1s4zibI/AAAAAAACIWg/9KjevqR09ekxM-WAQxoX5h2wfL7FcnmKwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200308-WA0008.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi akisalimiana na Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi (CCM) la DMV Washington DC, Ndugu Salma Moshi walipokutana nchini Marekani, jana.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wuk1guMZHBM/XvTMUmTcY2I/AAAAAAALveQ/j05n2KSgvdAj-txBFBqSrCU2hb_67-75wCLcBGAsYHQ/s72-c/CCC-2048x1423.jpg)
PROF. KABUDI AKUTANA, KUMUAGA BALOZI WA IRELAND NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wuk1guMZHBM/XvTMUmTcY2I/AAAAAAALveQ/j05n2KSgvdAj-txBFBqSrCU2hb_67-75wCLcBGAsYHQ/s640/CCC-2048x1423.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DDD-scaled.jpg)
Balozi wa Ireland nchini, Mhe. Paul Sherlock akimuonesha moja ya picha katika kitabu alichompatia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi kama zawadi
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/dddb94de-fb91-4d66-9b7a-d184645812d9.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1eJ82sfwCQ8/XtAJ6i2bvGI/AAAAAAALr7k/sArUNNduQ2ExUBUZlErwgI5SERAdVDNBACLcBGAsYHQ/s72-c/77AAA-768x512.jpg)
PROF. KABUDI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MABALOZI WA UFARANSA, UTURUKI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1eJ82sfwCQ8/XtAJ6i2bvGI/AAAAAAALr7k/sArUNNduQ2ExUBUZlErwgI5SERAdVDNBACLcBGAsYHQ/s640/77AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/11AAA-1024x682.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akipokea zawadi ya kitabu cha Mwl. Nyerere kutoka kwa Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/22AAA-1024x682.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba ...
11 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA WANAWAKE WATANZANIA WAJASIRIAMALI WA DMV JIJINI WASHINGTON
5 years ago
MichuziWAZIRI PROF. KABUDI AWASILI NCHINI MADAGASCAR KUCHUKUA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi wa kulia akinywa dawa ya kutibu ugonjwa wa virusi vya corona
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Mhe. Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Antananarivo kwa ajili ya kupokea msaada wa dawa ya kutibu na kukinga ugonjwa wa COVID-19...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI WA MABOMBO YA NJE PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, ambapo walijadili masuala mbalimbali yanayohusu mahusiano baina ya Tanzania na Italia.
Aidha, walitumia mazungumzo hayo...
9 years ago
StarTV06 Jan
Katibu wa Itikadi, Siasa, Uenezi Uyui akanusha Madai Ya Mbunge Kufungiwa
Katibu wa Itikadi, Siasa na uenezi wilaya ya Uyui mkoani Tabora Said Katalla amekanusha uvumi unaoenezwa kuwa Mbunge wa Chama cha Mapindizi jimbo la Tabora Kaskazini Almas Maige amefungiwa Ubunge kwa muda wa miezi sita.
Uvumi huo umeeleza kuwa Almas Maige amefungiwa ubunge kutokana na kukutwa na kashfa ya sakata la makontena 349 yaliyobainiwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kuingizwa nchini kinyemela katika bandari ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.
Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Uyui...
11 years ago
GPLWAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROF SOSPETER MUHONGO, AKUTANA NA MR MAYANK BHARGAVA AKIWEMO MR PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC
5 years ago
MichuziPROF. KABUDI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI AKIWA GENEVA - USWISI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika kikao cha 43 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kinachofanyika Geneva,Uswisi
10 years ago
MichuziMazungumzo na Salma Moshi kuhusu uchaguzi DMV
Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu.Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.Mmoja wa wagombea hao, Salma Moshi amaketi nasi kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014 chini ya utayarishaji wa Vijimambo BlogKaribu uungane nasi kusikia anachopinga