Katibu wa Itikadi, Siasa, Uenezi Uyui akanusha Madai Ya Mbunge Kufungiwa
Katibu wa Itikadi, Siasa na uenezi wilaya ya Uyui mkoani Tabora Said Katalla amekanusha uvumi unaoenezwa kuwa Mbunge wa Chama cha Mapindizi jimbo la Tabora Kaskazini Almas Maige amefungiwa Ubunge kwa muda wa miezi sita.
Uvumi huo umeeleza kuwa Almas Maige amefungiwa ubunge kutokana na kukutwa na kashfa ya sakata la makontena 349 yaliyobainiwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kuingizwa nchini kinyemela katika bandari ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.
Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Uyui...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Jan
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-T3QyN1wy9QI/VdGufR4qXXI/AAAAAAAAkQ0/sYzIpwxzIBQ/s72-c/8.jpg)
HABARI ZA KAMATI KUU YA CCM KUMUWEKA KANDO KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NDUGU NAPE NNAUYE SI ZA KWELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-T3QyN1wy9QI/VdGufR4qXXI/AAAAAAAAkQ0/sYzIpwxzIBQ/s640/8.jpg)
Ndugu Msomaji, kuna taarifa za uongo zimeenezwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii zikisema kuwa Kamati kuu ya CCM imemuweka kando Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye kutoka katika nafasi hiyo na kumteua Ndugu John Chiligati kushika wadhifa huo.
Taarifa hizo si za kweli kwani Kamati kuu haijafanya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gWR_XKF5Ts4/XmTb1s4zibI/AAAAAAACIWg/9KjevqR09ekxM-WAQxoX5h2wfL7FcnmKwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200308-WA0008.jpg)
WAZIRI PROF. PARAMAGAMBA KABUDI AKUTANA NA KATIBU WA SIASA NA UENEZI WA TAWI LA CCM LA DMV, WASHINGTON DC SALMA MOSHI NCHINI MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gWR_XKF5Ts4/XmTb1s4zibI/AAAAAAACIWg/9KjevqR09ekxM-WAQxoX5h2wfL7FcnmKwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200308-WA0008.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Aug
Makatibu wa Itikadi, Uenezi CCM wafundwa
MAKATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Kata za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuwatumia marafiki zao waliopo katika vyama pinzani ili kuhakikisha hali ya kisiasa inaendelea kuimarika.
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Njau: Itikadi za Siasa zisiwatenganishe
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa wilaya ya Ikungi Jonathani Njau, akishikilia shilingi 1.5 milioni ambazo alichangia kwaya ya Agape ya kanisa la KKKT wilaya ya Ikungi.Katika harambee hiyo jumla ya zaidi ya shilingi 4.3 milioni zilikusanywa.
Na Nathaniel Limu
Mjumbe wa kamati kuu CCM (NEC) taifa wilaya ya Ikungi,Jonathan Njau amewaasa waumini wa madhehebu mbalimbali ya dini wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, kutokubali kugawanywa na imani zao za kiitikadi za kisiasa, bali...
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mchungaji: Tusichague viongozi kwa itikadi za siasa
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KANISA la Babtist Tanzania limesema katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu Watanzania wanatakiwa kuchagua kiongozi mwenye uwezo wa kuwatumikia wananchi bila kuangalia itikadi, kabila wala dini yake.
Kauli hiyo ilitolewa na Mwangalizi Mkuu wa Makanisa ya Babtist Tanzania, Mchungaji Anord Manase, wakati alipofungua kongamano la wanawake wa Kibabtisti nchini lililofanyika Chuo Kikuu cha Mount Meru wilayani Arumeru mkoani hapa.
Akizungumza katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmmdWM0Ut-LqWZhmx-DlXpdre4AbJniQLO-HYGHBQVZcsVs49SuyEjWuL9GHYNd0gM*7qs7sRGXmjj77Fy2jSOm/JOYCE.jpg)
JOHARI AKANUSHA MADAI YA KUBATIZWA
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Lamorde akanusha madai ya ufisadi
5 years ago
CCM BlogKATIBU WA UENEZI MKOA WA NJOMBE, NGOLE AWAPIGA MSASA MAKATIBU WENEZI WA KATA 16