Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makatibu wa Itikadi, Uenezi CCM wafundwa

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida.MAKATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Kata za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuwatumia marafiki zao waliopo katika vyama pinzani ili kuhakikisha hali ya kisiasa inaendelea kuimarika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

HABARI ZA KAMATI KUU YA CCM KUMUWEKA KANDO KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NDUGU NAPE NNAUYE SI ZA KWELI

Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kushoto) akiwa kwenye kikao cha Kamati Kuu Maalum leo tarehe 17 Agosti 2015,kinachoendelea kwenye Makao Makuu ya Chama,Ofisi Ndogo Lumumba.
Ndugu Msomaji, kuna taarifa za uongo zimeenezwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii zikisema kuwa Kamati kuu ya CCM imemuweka kando Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye kutoka katika nafasi hiyo na kumteua Ndugu John Chiligati kushika wadhifa huo.
Taarifa hizo si za kweli kwani Kamati kuu haijafanya...

 

9 years ago

StarTV

Katibu wa Itikadi, Siasa, Uenezi Uyui akanusha Madai Ya Mbunge Kufungiwa

Katibu wa Itikadi, Siasa na uenezi wilaya ya Uyui mkoani Tabora Said Katalla amekanusha uvumi unaoenezwa kuwa Mbunge wa Chama cha Mapindizi jimbo la Tabora Kaskazini Almas Maige amefungiwa Ubunge kwa muda wa miezi sita.

Uvumi huo umeeleza kuwa Almas Maige amefungiwa ubunge kutokana na kukutwa na kashfa ya sakata la makontena 349 yaliyobainiwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kuingizwa nchini kinyemela katika bandari ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.

Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Uyui...

 

5 years ago

CCM Blog

KATIBU WA UENEZI MKOA WA NJOMBE, NGOLE AWAPIGA MSASA MAKATIBU WENEZI WA KATA 16


 KATIBU wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe, Erasto Ngole maarufu kwa jina la Shikamoo Parachichi,  akisisitiza jambo wakati wa kikao na baadhi ya  Makatibu wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa Kata pamoja na makatibu Kata wa chama hicho kutoka Kata 16 za Wilaya ya Njombe, kuhusu wajibu wao na mikakati mbalimbali ya kuimarisha uhai wa chama katika Kata zao. Ngole amefanya vikao kama hicho katika wilaya ya Wanging'ombe. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
 Ngole ambaye...

 

9 years ago

Habarileo

Makatibu wakuu wafundwa

MAKATIBU Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.

 

9 years ago

Mwananchi

Makatibu wakuu wa wizara wafundwa

Makatibu wakuu wa wizara na manaibu wao walioapishwa juzi na Rais John Magufuli, wameelekezwa namna ya kusimamia fedha za umma, wakitahadharishwa kuwa Serikali haitarajii kuona hati zenye kasoro za ukaguzi wa hesabu.

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:CCM yazidi kuwapa mbinu za ushindi viongozi wa uenezi

Na Amiri kilagalila,Njombe

Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimewaelekeza makatibu wa siasa na uenezi ngazi ya kata na wilaya zote mkoani humo, kuhakikisha wanaieleza jamii shughuli za maendeleo zinazoendelea kwenye maeneo yao ikiwa na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama.

Wito huo umetolewa na katibu wa siasa na uenezi wa chama cha Mapinduzi mkoa wa Njombe Ndg, Erasto Ngole alipokuyana na viongozi hao katika ofisi za chama wilaya ya Njombe,kupitia ziara ya kikazi anayoifanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma

1

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”

2

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA NAIBU MAKATIBU WAKUU LEO MJINI DODOMA

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.” Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani