Njombe:CCM yazidi kuwapa mbinu za ushindi viongozi wa uenezi
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs2Chgk137I/XlFzjv8RaUI/AAAAAAALe2Q/DdW0HBephDsPsr1jYg5ssU4xKG2XsxnqwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0160.jpg)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimewaelekeza makatibu wa siasa na uenezi ngazi ya kata na wilaya zote mkoani humo, kuhakikisha wanaieleza jamii shughuli za maendeleo zinazoendelea kwenye maeneo yao ikiwa na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama.
Wito huo umetolewa na katibu wa siasa na uenezi wa chama cha Mapinduzi mkoa wa Njombe Ndg, Erasto Ngole alipokuyana na viongozi hao katika ofisi za chama wilaya ya Njombe,kupitia ziara ya kikazi anayoifanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA:CCM YAZIDI KUJIHAKIKISHIA USHINDI
9 years ago
StarTV10 Nov
Wana CCM watakiwa kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar Es Salaam kimewataka wananchi kuwapa ushirikiano madiwani wa chama hicho waliochaguliwa ili wawatumikie na kuwaletea maendeleo kama walivyowaahidi wakati wa Kampeni.
CCM imesema Madiwani wa chama hicho wamejipanga kutumikia wananchi wote bila kujali tofauti zao, lengo ni kubadilisha maisha ya wananchi wanyonge kwa kupata hudumu muhimu ikiwemo Elimu, Afya, Maji miundombinu ya Barabara na kuboresha upatikanaji wa ajira kwa vijana.
Juma Simba Gadaffi ni...
5 years ago
CCM BlogKATIBU WA UENEZI MKOA WA NJOMBE, NGOLE AWAPIGA MSASA MAKATIBU WENEZI WA KATA 16
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Grace: msomi aliyejitosa kuwapa wahitimu maarifa, mbinu za ajira
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QeJ8xG86Y0oOhKwxuL-LpgXBuxddf9J-5PahEtd3SDSIhl9pxsda9un7LZx33ZVI48g7vkp4rrXVcONwP8cVrGi/3.jpg?width=650)
AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ YAZIDI KUWAPA WATANZANIA WENGI FARAJA
10 years ago
Habarileo17 Aug
Makatibu wa Itikadi, Uenezi CCM wafundwa
MAKATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Kata za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuwatumia marafiki zao waliopo katika vyama pinzani ili kuhakikisha hali ya kisiasa inaendelea kuimarika.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
‘Mbinu za Yanga zimenipa ushindi’
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Skylight Band yazidi kuwapa shangwe mashabiki ndani ya kiota cha Thai Village, tukutane tena Ijumaa hii
Digna Mbepera (katikati) akiongoza Divas wenzake wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 na Winfrida Richard (kulia) kutoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Ijumaa ya leo pia sio ya kukosa mwendo ni ule ule ma-style mapya kibao yatachezeka!
Amsha amsha ikianza taratibu….hakuna kama Skylight Band ndio habari ya mujini…!
Majembe ya Skylight Band…Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakifanya yao jukwaani.
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI NJOMBE CHINI YA ULINZI KWA MBINU YA KULIPUA MBWENI