‘Mbinu za Yanga zimenipa ushindi’
Wakati kikosi cha Simba kikipewa mapumziko ya wiki mbili, kocha mkuu, Patrick Phiri ameeleza kuwa mfumo wa 4-5-1 alioutumia kwenye mechi na Yanga ndiyo umempa ushindi wa kwanza msimu huu kwenye Uwanja wa Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs2Chgk137I/XlFzjv8RaUI/AAAAAAALe2Q/DdW0HBephDsPsr1jYg5ssU4xKG2XsxnqwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0160.jpg)
Njombe:CCM yazidi kuwapa mbinu za ushindi viongozi wa uenezi
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs2Chgk137I/XlFzjv8RaUI/AAAAAAALe2Q/DdW0HBephDsPsr1jYg5ssU4xKG2XsxnqwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200222-WA0160.jpg)
Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimewaelekeza makatibu wa siasa na uenezi ngazi ya kata na wilaya zote mkoani humo, kuhakikisha wanaieleza jamii shughuli za maendeleo zinazoendelea kwenye maeneo yao ikiwa na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama.
Wito huo umetolewa na katibu wa siasa na uenezi wa chama cha Mapinduzi mkoa wa Njombe Ndg, Erasto Ngole alipokuyana na viongozi hao katika ofisi za chama wilaya ya Njombe,kupitia ziara ya kikazi anayoifanya...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
MBINU: Yanga yaivamia Stars
Dar es Salaam. Mbinu za kiufundi za klabu ya Yanga zilizoipa ubingwa wa Ligi Kuu, sasa zimehamishiwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa, ‘Taifa Stars’ inayojiandaa kuikabili Uganda Cranes, Jumamosi.
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Yanga, Simba waja na mbinu tofauti
Wakati Yanga wakiwapa mapumziko ya siku 10 nyota wake kabla ya kurejea kuanza maandalizi rasmi ya mechi ya ‘Nani Mtani Jembe 2’, wapinzani wao, Simba, wamewapa mapumziko ya siku 14 huku wakitamba kikosi chao kuwa ‘fiti’ tayari kwa mchezo huo.
10 years ago
Mwananchi13 Feb
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA: Yanga kutumia mbinu za Al-Ahly
>Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema kikosi chake kipo tayari kwa vita na kuahidi kucheza soka la kushambulia muda wote dhidi ya BDF XI ya Botswana.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NH2929q00fk/VS-xsB90K5I/AAAAAAAHRhU/jZOyAcw_Cjg/s72-c/TAMBWE-2.jpg)
DRFA YAIPA MBINU YANGA KUINYOA ETOILE DU SAHEL
![](http://1.bp.blogspot.com/-NH2929q00fk/VS-xsB90K5I/AAAAAAAHRhU/jZOyAcw_Cjg/s1600/TAMBWE-2.jpg)
Mwenyekiti wa chama hicho Almasi Kasongo,amesema ili yanga ifanye vizuri katika mechi hiyo na kuwapa raha mashabiki wake na watanzania...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0ws6VsqppOqcnPXpWjrCPPJypu2xdxHoAb0yxL4uIpOi38PSO3J4iIdmSujS6p9maCxnM7pIkIMkAl7qhasSyZ/KOCHAYANGA.gif?width=650)
Kocha raia wa Uingereza aipa Yanga mbinu za kuing’oa Al Ahly
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall, raia wa Uingereza, ameibuka na kuielekeza Yanga cha kufanya kama kweli inataka kuiondoa Al Ahly ya Misri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga inatarajiwa kuumana na mabingwa hao watetezi kwenye mchezo wa hatua ya pili ya michuano hiyo baada ya kuifunga Komorozine ya Comoro kwa jumla ya...
10 years ago
BBCSwahili01 May
Yanga ina matumaini ya ushindi
Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema wana ari ya kushinda mechi yao ya mwishoni mwa wiki hii dhidi ya Etoile du Sahel .
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Ushindi wa mabao mengi utaisaidia Yanga leo
Wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga, leo wataingia kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa ajili ya kucheza na Al Ahly ya Misri katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya mashindano hayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania