Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBINU: Yanga yaivamia Stars

Dar es Salaam. Mbinu za kiufundi za klabu ya Yanga zilizoipa ubingwa wa Ligi Kuu,  sasa zimehamishiwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa, ‘Taifa Stars’ inayojiandaa kuikabili Uganda Cranes, Jumamosi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Stars yang’ara, mbinu zaiangusha

Taifa Stars ya Tanzania jana ilipata pointi ya kwanza kwenye safari ya kuelekea fainali za Afrika mwaka 2017 nchini Gabon baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Super Eagles ya Nigeria.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mbinu za Yanga zimenipa ushindi’

Wakati kikosi cha Simba kikipewa mapumziko ya wiki mbili, kocha mkuu, Patrick Phiri ameeleza kuwa mfumo wa 4-5-1 alioutumia kwenye mechi na Yanga ndiyo umempa ushindi wa kwanza msimu huu kwenye Uwanja wa Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba waja na mbinu tofauti

Wakati Yanga wakiwapa mapumziko ya siku 10 nyota wake kabla ya kurejea kuanza maandalizi rasmi ya mechi ya ‘Nani Mtani Jembe 2’, wapinzani wao, Simba, wamewapa mapumziko ya siku 14 huku wakitamba kikosi chao kuwa ‘fiti’ tayari kwa mchezo huo.

 

10 years ago

Michuzi

DRFA YAIPA MBINU YANGA KUINYOA ETOILE DU SAHEL

Kuelekea mchezo wa michuano ya kombe la shirikisho barani afrika kati ya Yanga dhidi ya Etoile Du Sahel ya Tunisia utakaopigwa jumamosi hii April 18 katika uwanja wa taifa,Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimeitabiria makubwa klabu hiyo ya Jangwani kuvuka katika kizingiti hicho kigumu kwa mchezo wa nyumbani na ugenini dhidi ya wababe hao wa Tunisia.
Mwenyekiti wa chama hicho Almasi Kasongo,amesema ili yanga ifanye vizuri katika mechi hiyo na kuwapa raha mashabiki wake na watanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA: Yanga kutumia mbinu za Al-Ahly

>Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema kikosi chake kipo tayari kwa vita na kuahidi kucheza soka la kushambulia muda wote dhidi ya  BDF XI ya Botswana.

 

11 years ago

GPL

Kocha raia wa Uingereza aipa Yanga mbinu za kuing’oa Al Ahly

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall, raia wa Uingereza, ameibuka na kuielekeza Yanga cha kufanya kama kweli inataka kuiondoa Al Ahly ya Misri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga inatarajiwa kuumana na mabingwa hao watetezi kwenye mchezo wa hatua ya pili ya michuano hiyo baada ya kuifunga Komorozine ya Comoro kwa jumla ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Five Yanga stars on the way out

>Five top Young Africans players are free to leave the dethroned champions following the expiry of their contracts.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga kuongeza wa Stars Kagame

NYOTA sita wa klabu ya Yanga waliotua nchini jana wakiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, watajumuishwa katika safari ya kwenda Kigali, Rwanda kushiriki michuano ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yazuia nyota wake Stars

Klabu ya Yanga imewazuia wachezaji wake watatu kujiunga na kambi ya timu ya Taifa, Taifa Stars, hadi pale watakapomaliza mechi yao ya leo dhidi ya Thika United ya Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani