KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA: Yanga kutumia mbinu za Al-Ahly
>Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema kikosi chake kipo tayari kwa vita na kuahidi kucheza soka la kushambulia muda wote dhidi ya BDF XI ya Botswana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Al Ahly kucheza Kombe la Shirikisho
Timu ya Al Ahly ya Misri watakabiliana na Difaa Hassani Jadida ya Morocco katika mashindano ya Kombe la Shirikisho
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0ws6VsqppOqcnPXpWjrCPPJypu2xdxHoAb0yxL4uIpOi38PSO3J4iIdmSujS6p9maCxnM7pIkIMkAl7qhasSyZ/KOCHAYANGA.gif?width=650)
Kocha raia wa Uingereza aipa Yanga mbinu za kuing’oa Al Ahly
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall, raia wa Uingereza, ameibuka na kuielekeza Yanga cha kufanya kama kweli inataka kuiondoa Al Ahly ya Misri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga inatarajiwa kuumana na mabingwa hao watetezi kwenye mchezo wa hatua ya pili ya michuano hiyo baada ya kuifunga Komorozine ya Comoro kwa jumla ya...
11 years ago
GPLAZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
TIMU ya Azam FC imeondolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ferroviario de Beira ya Msumbuji. Kwa matokeo hayo, Azam imeondolewa kwa mabao 2-1 baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Chamazi, Dar kushinda bao 1-0 .
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Yanga ina matumaini kombe la shirikisho.
Klabu ya Yanga Tanzania imesema ina inamatumaini ya kusonga mbele kwenye michuano ya soka kombe la Shirikisho Barani Afrika.
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Kombe la Shirikisho:Yanga dimbani leo
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Yanga watawakabili BDF XI huko Gaborone, Botswana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/db4JtL*UowEcylgslXcsDaFujAu-AQVtv3Iftw*Bx33jxcCFYckMuEc0qneJhC1pLyWGOPKqWn5TbF1a7iaO7fGHREZaWWAB/YANGA.jpg?width=650)
KOMBE LA SHIRIKISHO: YANGA KAMILI GADO
Na Louis Ngwako, Gaborone
YANGA iko tayari kwa lolote! Kama haukubali, subiri leo saa 2:30 usiku uone wakiwa kazini dhidi ya BDF XI.
Yanga inahitaji sare ya aina yoyote ili kusonga mbele, au ikiwezekana ushindi, pia poa tu!
Kikosi kizima cha Yanga kimemaliza mandalizi yake kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya timu hiyo ya Jeshi la Ulinzi Botswana, mechi itakayopigwa kwenye Uwanja wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-COFMdJTJb1U/UxzFjb83EaI/AAAAAAAFSe0/q03KNYsjims/s72-c/MMG25630.jpg)
News Flash: Yanga yatolewa kiume mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,yafungwa na Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3
![](http://1.bp.blogspot.com/-COFMdJTJb1U/UxzFjb83EaI/AAAAAAAFSe0/q03KNYsjims/s1600/MMG25630.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s72-c/facup.png)
KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s640/facup.png)
Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KOMBE LA SHIRIKISHO: Tumekosa wote
>Yanga imejijengea mazingira magumu ya kusonga mbele kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Etoile du Sahel.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania