KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s72-c/facup.png)
MICHUANO ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) mzunguko wa tatu inatarajiwa kuendelea Januari 12 na wikiendi ya Januari 23-27 kwa timu 32 kuchuana kuwania kufuzu kwa hatua ya 16 bora ya michuano hiyo.
Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Dec
Timu saba zatinga raundi ya tatu kombe la FA
TIMU saba zimekata tiketi ya kucheza mzunguko wa tatu wa michuano ya kombe la Shirikisho, FA unaotarajiwa kuanza mapema Januari 2016. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), timu hizo ni Ashanti United, Burkinafaso, Geita Gold, Friends Rangers, Madini FCM, Panone na Rhino Rangers.
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Ratiba ya raundi ya tatu, FA yatoka
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Phil Taylor atinga raundi ya tatu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTPaZf2h*CZuzJ9-KLdk0e8rA4GOM78UaDvPXrvKwlWZISXdqy7o2bbJvrLaFv6KHQzP8Qp9LnwmvYOsnAXeLn2/BONY.jpg)
MATOKEO RAUNDI YA 3 KOMBE LA FA: LIVERPOOL, CHELSEA ZAPETA, MAN UTD HOI
9 years ago
Michuzi09 Nov
UZINDUZI KOMBE LA SHIRIKISHO LEO
![](http://tff.or.tz/images/asfclounge.png)
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Al Ahly kucheza Kombe la Shirikisho
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KOMBE LA SHIRIKISHO: Tumekosa wote
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Kombe la Shirikisho:Yanga dimbani leo
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XX0rwEpB3Cc/VfGD-FNauYI/AAAAAAABHV0/dtB6NUYVV-0/s72-c/AZ.png)
AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XX0rwEpB3Cc/VfGD-FNauYI/AAAAAAABHV0/dtB6NUYVV-0/s640/AZ.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pAhwMF56rJw/VfGEQc9wk2I/AAAAAAABHV4/evDbtpP1FKc/s640/AZ%2B1.png)
Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...