Ratiba ya raundi ya tatu, FA yatoka
Ratiba ya kombe la FA roundi ya tatu imetoka, mabingwa watetezi Arsenal kukipiga na Hullcity
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Sep
Hii ndo ratiba ya raundi ya 4 Capital 1
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s72-c/facup.png)
KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s640/facup.png)
Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Phil Taylor atinga raundi ya tatu.
9 years ago
Habarileo23 Dec
Timu saba zatinga raundi ya tatu kombe la FA
TIMU saba zimekata tiketi ya kucheza mzunguko wa tatu wa michuano ya kombe la Shirikisho, FA unaotarajiwa kuanza mapema Januari 2016. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), timu hizo ni Ashanti United, Burkinafaso, Geita Gold, Friends Rangers, Madini FCM, Panone na Rhino Rangers.
9 years ago
MichuziBONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' AMDUNDA ALLY MUHURO KWA T.K.O YA RAUNDI YA TATU
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kulia) akimshambulia kwa makonde mazito Ally Muhuro wakati wa mpambano wao ulifanyika siku ya jumamosi Class alishinda kwa T.K.O ya raund ya tatu Picha na SUPER D BOXING NEWS
9 years ago
StarTV18 Dec
Ligi Daraja La Tatu Morogoro Makocha walalamikia ratiba.
Kivumbi cha ligi daraja la tatu ngazi ya Mkoa Morogoro kinatarajiwa kufikia tamati ijumaa hii, huku viwanja viwili vya Sabasaba na Jamhuri vikitarajia kuwaka Moto pale timu za Mawenzi, Nyamvisi FC, Moro Kids na Kizuka Star, zitakaposhuka dimbani kupambana.
Licha ya ligi hiyo kuanza kwa kasi katika vituo vitatu tofauti, baadhi ya makocha wa vilabu vinavyoshiriki michuano hiyo wamelalamikia ratiba ya michuano hiyo kuwa inawabana kutokana na siku moja kuchezwa michezo miwili kutika uwanja...
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Nigeria yafuzu raundi ya pili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*ovoxonpLcQcaTMVnQKY7RVh5QmqXqTSY8hmQj1oWTfXi2T4rVZHBtpVytiUVPFwGZFmWfDghInpul5XhbUjTQa/NDONDI1.jpg?width=650)
PAMBANO LA NYIRAWILA NA MBELWA LAVUNJIKA RAUNDI YA 8
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Messi aifikisha Argentina raundi ya pili