Timu saba zatinga raundi ya tatu kombe la FA
TIMU saba zimekata tiketi ya kucheza mzunguko wa tatu wa michuano ya kombe la Shirikisho, FA unaotarajiwa kuanza mapema Januari 2016. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), timu hizo ni Ashanti United, Burkinafaso, Geita Gold, Friends Rangers, Madini FCM, Panone na Rhino Rangers.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s72-c/facup.png)
KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s640/facup.png)
Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4mRLZFfYlw/VJ0UHdKsd_I/AAAAAAAG52c/oCUdfifVaaM/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Ratiba ya raundi ya tatu, FA yatoka
Ratiba ya kombe la FA roundi ya tatu imetoka, mabingwa watetezi Arsenal kukipiga na Hullcity
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya
Timu nne zimetinga hatua ya nusu fainali katika ligi ya mabingwa barani Ulaya iliyokamilika hapo jana.
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Phil Taylor atinga raundi ya tatu.
Mshindi mara kumi na sita wa dunia kwa mchezo wa kurusha vishale Phil Taylor, ameingia hatua ya tatu ya mchezo vishale ya dunia .
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTPaZf2h*CZuzJ9-KLdk0e8rA4GOM78UaDvPXrvKwlWZISXdqy7o2bbJvrLaFv6KHQzP8Qp9LnwmvYOsnAXeLn2/BONY.jpg)
MATOKEO RAUNDI YA 3 KOMBE LA FA: LIVERPOOL, CHELSEA ZAPETA, MAN UTD HOI
Wilfried Bony wa Swansea baada ya kufunga bao la pili na la ushindi dhidi ya Manchester United.
Mchezaji wa Manchester United, Danny Welbeck, akiwa kichwa chini miguu juu wakati wa mtanange huo uliomalizika kwa Swansea kushinda 2-1. Manchester United 1-2 Swansea City…
9 years ago
MichuziBONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' AMDUNDA ALLY MUHURO KWA T.K.O YA RAUNDI YA TATU
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kulia) akimshambulia kwa makonde mazito Ally Muhuro wakati wa mpambano wao ulifanyika siku ya jumamosi Class alishinda kwa T.K.O ya raund ya tatu Picha na SUPER D BOXING NEWS
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Timu tatu zapigwa tafu Mufindi
TIMU tatu za soka za Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa zimepata msaada wa seti moja ya jezi na mpira mmoja kwa kila moja na shilingi milioni 8.1 kwa ajili ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania