Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu saba zatinga raundi ya tatu kombe la FA

TIMU saba zimekata tiketi ya kucheza mzunguko wa tatu wa michuano ya kombe la Shirikisho, FA unaotarajiwa kuanza mapema Januari 2016. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), timu hizo ni Ashanti United, Burkinafaso, Geita Gold, Friends Rangers, Madini FCM, Panone na Rhino Rangers.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.

MICHUANO ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) mzunguko wa tatu inatarajiwa kuendelea Januari 12 na wikiendi ya Januari 23-27 kwa timu 32 kuchuana kuwania kufuzu kwa hatua ya 16 bora ya michuano hiyo.
Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia

Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball baada ya ushindi wa nafasi ya tatu (Bronze Medal) katika mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia la Mchezo wa Baseball Umri chini ya Miaka 18. Mashindano hayo yalifanyika nchini Kenya katika mji wa Meru tarehe 15 - 20 Disemba, 2014 na yalikuwa kutafuta tiketi kwa Bara la Afrika ya kushiriki mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika hapo mwakani 2015 katika jiji la Tokyo, Japan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ratiba ya raundi ya tatu, FA yatoka

Ratiba ya kombe la FA roundi ya tatu imetoka, mabingwa watetezi Arsenal kukipiga na Hullcity

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya

Timu nne zimetinga hatua ya nusu fainali katika ligi ya mabingwa barani Ulaya iliyokamilika hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Phil Taylor atinga raundi ya tatu.

Mshindi mara kumi na sita wa dunia kwa mchezo wa kurusha vishale Phil Taylor, ameingia hatua ya tatu ya mchezo vishale ya dunia .

 

11 years ago

GPL

MATOKEO RAUNDI YA 3 KOMBE LA FA: LIVERPOOL, CHELSEA ZAPETA, MAN UTD HOI

Wilfried Bony wa Swansea baada ya kufunga bao la pili na la ushindi dhidi ya Manchester United.
Mchezaji wa Manchester United, Danny Welbeck, akiwa kichwa chini miguu juu wakati wa mtanange huo uliomalizika kwa Swansea kushinda 2-1. Manchester United 1-2 Swansea City…

 

9 years ago

Michuzi

BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' AMDUNDA ALLY MUHURO KWA T.K.O YA RAUNDI YA TATU


Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kulia) akimshambulia kwa makonde mazito Ally Muhuro wakati wa mpambano wao ulifanyika siku ya jumamosi Class alishinda kwa T.K.O ya raund ya tatu Picha na SUPER D BOXING NEWSBondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Ally Muhuro wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamos Class alishinda kwa T.K.O raundi ya tatu Picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Timu tatu zapigwa tafu Mufindi

TIMU tatu za soka za Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa zimepata msaada wa seti moja ya jezi na mpira mmoja kwa kila moja na shilingi milioni 8.1 kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani