Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phil Taylor atinga raundi ya tatu.

Mshindi mara kumi na sita wa dunia kwa mchezo wa kurusha vishale Phil Taylor, ameingia hatua ya tatu ya mchezo vishale ya dunia .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ANDY MURRAY ATINGA RAUNDI YA 3 FRENCH OPEN

Andy Murray ametinga raundi ya tatu kwa kumtoa Marinko Matosevic. Andy Murray akikwaana na Marinko Matosevic. Mashabiki wakishuhudia mpambano…

 

9 years ago

Michuzi

KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.

MICHUANO ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) mzunguko wa tatu inatarajiwa kuendelea Januari 12 na wikiendi ya Januari 23-27 kwa timu 32 kuchuana kuwania kufuzu kwa hatua ya 16 bora ya michuano hiyo.
Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ratiba ya raundi ya tatu, FA yatoka

Ratiba ya kombe la FA roundi ya tatu imetoka, mabingwa watetezi Arsenal kukipiga na Hullcity

 

9 years ago

Habarileo

Timu saba zatinga raundi ya tatu kombe la FA

TIMU saba zimekata tiketi ya kucheza mzunguko wa tatu wa michuano ya kombe la Shirikisho, FA unaotarajiwa kuanza mapema Januari 2016. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), timu hizo ni Ashanti United, Burkinafaso, Geita Gold, Friends Rangers, Madini FCM, Panone na Rhino Rangers.

 

9 years ago

Michuzi

BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' AMDUNDA ALLY MUHURO KWA T.K.O YA RAUNDI YA TATU


Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kulia) akimshambulia kwa makonde mazito Ally Muhuro wakati wa mpambano wao ulifanyika siku ya jumamosi Class alishinda kwa T.K.O ya raund ya tatu Picha na SUPER D BOXING NEWSBondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Ally Muhuro wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamos Class alishinda kwa T.K.O raundi ya tatu Picha zaidi BOFYA HAPA

 

5 years ago

The Guardian

Classical music: let the Berlin Phil come to you

Classical music: let the Berlin Phil come to you  The Guardian

 

10 years ago

BBCSwahili

Phil Nevile amtetea Yaya Toure

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England na Manchester Utd, Phil Neville amemtetea Yaya Toure wa Manchester City.

 

9 years ago

BBCSwahili

Phil Collins aamua kurejelea muziki

Mwanamuziki kutoka Uingereza Phil Collins ametangaza kwamba atarejelea uimbaji na kusema hata anapanga ziara ya mataifa mbalimbali duniani.

 

11 years ago

GPL

LEO NI SIKU YA KUZALIWA MWANAMUZIKI PHIL COLLINS

Phil Collins. MWANAMUZIKI kutoka nchini England, Philip David Charles "Phil" Collins leo ametimiza umri wa miaka 63. Collins ambaye pia ni mwimbaji, mwandishi wa nyimbo, mpiga ala mbalimbali za muziki na mwigizaji  alizaliwa Januari 30, 1951 jijini London, England. Baadhi ya nyimbo za msanii huyo zilizotamba ni pamoja na: "You Can't Hurry Love", "You Can't Hurry Love", "You Can't Hurry Love", "Against All Odds (Take a...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani