Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phil Collins aamua kurejelea muziki

Mwanamuziki kutoka Uingereza Phil Collins ametangaza kwamba atarejelea uimbaji na kusema hata anapanga ziara ya mataifa mbalimbali duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LEO NI SIKU YA KUZALIWA MWANAMUZIKI PHIL COLLINS

Phil Collins. MWANAMUZIKI kutoka nchini England, Philip David Charles "Phil" Collins leo ametimiza umri wa miaka 63. Collins ambaye pia ni mwimbaji, mwandishi wa nyimbo, mpiga ala mbalimbali za muziki na mwigizaji  alizaliwa Januari 30, 1951 jijini London, England. Baadhi ya nyimbo za msanii huyo zilizotamba ni pamoja na: "You Can't Hurry Love", "You Can't Hurry Love", "You Can't Hurry Love", "Against All Odds (Take a...

 

9 years ago

Bongo5

Rose Ndauka aamua kuwekeza kwenye muziki

Msanii maarufu wa filamu, Rose Ndauka ameamua kujitosa kwenye muziki kwa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji litakalosimamiwa na kampuni yake ya Rosie. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za […]

 

10 years ago

Bongo5

Muigizaji Van Vicker wa Ghana aamua kuingia kwenye muziki

Muigizaji wa Ghana, Van Vicker ambaye mwaka jana mwishoni amefanya filamu na staa wa Bongo Wema Sepetu, ameamua kutupa karata yake kwenye muziki. Wema Sepetu na Van Vicker wa Ghana Akizungumza kwenye mahojiano ya hivi karibuni, Vicker ambaye pia ni producer na muongozaji wa filamu amesema kuwa ameamua kujaribu kuingia kwenye muziki kwasababu ameshafanya mengi […]

 

11 years ago

Bongo5

Dogo Janja apiga chini masomo ya sekondari, aamua kusomea muziki

Rapper wa Arusha aliyerejea tena Tip Top Connection, Dogo Janja amedai kuwa haoni umuhimu wa kuendelea na masomo ya sekondari na hivyo ameamua kusomea muziki. Akizungumza na Bongo5 jana akiwa jijini Mwanza kwaajili ya Serengeti Fiesta 2014, Dogo Janja amedai kuwa tayari ameshaanza mafunzo ya kutumia vyombo vya muziki kama vinanda. “Mimi napenda sana muziki, […]

 

9 years ago

TheCitizen

COLLINS: Ebola limbo: How long must refugees wait?

How long should it take a country to reopen its border with a neighbouring state after that state has been declared free of a deadly and contagious disease?

 

5 years ago

The Guardian

Classical music: let the Berlin Phil come to you

Classical music: let the Berlin Phil come to you  The Guardian

 

10 years ago

BBCSwahili

Phil Nevile amtetea Yaya Toure

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England na Manchester Utd, Phil Neville amemtetea Yaya Toure wa Manchester City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Phil Taylor atinga raundi ya tatu.

Mshindi mara kumi na sita wa dunia kwa mchezo wa kurusha vishale Phil Taylor, ameingia hatua ya tatu ya mchezo vishale ya dunia .

 

9 years ago

Dewji Blog

Phil Neville aikataa Uingereza, ataka kufundisha Hispania

phil-neville-valencia_3383469

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha msaidizi wa Valencia ya Hispania, Phil Neville (pichani) amesema hana mpango wa kurudi Uingereza kufundisha soka na anapenda kusalia kufundisha soka Hispania ambapo anaamini ni sehemu sahihi kwake kufundisha.

Neville ambaye aliwahi kuchezea Manchester United na Everton zote za Uingereza na baadae kuwa kocha msaidizi wa Manchester United kwa miezi 10 baada ya kocha mkuu, David Moyes kutimuliwa kazi, alikiambia kituo cha michezo cha Skysport kuwa inawezekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani