Muigizaji Van Vicker wa Ghana aamua kuingia kwenye muziki
Muigizaji wa Ghana, Van Vicker ambaye mwaka jana mwishoni amefanya filamu na staa wa Bongo Wema Sepetu, ameamua kutupa karata yake kwenye muziki. Wema Sepetu na Van Vicker wa Ghana Akizungumza kwenye mahojiano ya hivi karibuni, Vicker ambaye pia ni producer na muongozaji wa filamu amesema kuwa ameamua kujaribu kuingia kwenye muziki kwasababu ameshafanya mengi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo519 Jan
Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vTiH9EdcK0A/VNn4HfokBOI/AAAAAAAAenU/moMXVyN_1WQ/s72-c/slim.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Van Vicker:Mtangazaji anayefunika kwenye filamu
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
10 years ago
CloudsFM22 Dec
9 years ago
Bongo517 Oct
Rose Ndauka aamua kuwekeza kwenye muziki
10 years ago
Bongo502 Mar
Bingwa wa mashindano ya magari ya Formula One Lewis Hamilton kuingia kwenye muziki
9 years ago
Bongo520 Aug
Avril kurekodi wimbo na Christina Shusho? akanusha kuingia kwenye muziki wa injili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MBA*6Vr3b4qe4DNd585rX9RpN6fdWtB8NZCMeNs5Je-eWbgEoUsxdqplgZyXcPWN5bTCQShN3naeINkzd8hTv92/lulu1.jpg?width=650)
LULU AMGANDA VAN VICKER