Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muigizaji Slim Omary Akizungumzia Filamu aliyocheza na Van Vicker katika Filamu ya Never Give up

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NI SHEEDA! MUIGIZAJI WA FILAMU SLIM ADAIWA KUGOMA KUREJESHA GARI

Stori: Imelda Mtema
NI sheeda! Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’ amejikuta akiwekwa nguvuni katika Kituo cha Polisi cha Makangarawe, Yombo-Buza, jijini Dar akidaiwa kugoma kurejesha gari aina ya Land Lover Discovery walilopewa zawadi siku ya ndoa. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’. Gari hilo walipewa na wakwe zake alipofunga ndoa na binti yao aitwaye Asia Morgan,...

 

10 years ago

Mwananchi

Van Vicker:Mtangazaji anayefunika kwenye filamu

Unapozungumzia wacheza filamu mahiri barani Afrika lazima Van Vicker atakuwa miongoni mwa mastaa watakaokuwapo kwenye orodha hiyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu ya Wema Sepetu na Van Vicker ‘Day After Death’ Kuzinduliwa September, Dar

Filamu ya Wema Sepetu na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’ inatarajiwa kuzinduliwa September mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Wema ameiambia Bongo5 kuwa Van Vicker atakaa kwa wiki mbili zaidi kwaajili ya kufanya filamu nyingi na muigizaji huyo aliyeshinda aliyeibuka na tuzo ya muigizaji wa kike anayependwa kwenye tuzo za watu zilizotolewa Ijumaa iliyopita.

“Tunaplan kuilaunch movie yetu mwezi wa tisa, kaniambia kwamba akija he is going to stay for another two weeks na...

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka

Meneja wa mwanadada wa filamu Wema Sepetu, Martin Kadinda ameelezea sababu ya kuchelewa kutoka kwa filamu ya ‘Day After Death’ iliyochezwa na Wema pamoja na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’. Martin amesema filamu hiyo ilikuwa itoke September mwaka huu lakini imeshindikana kutokana na kampeni za uchaguzi. “Filamu mpaka sasa ipo tayari, lakini […]

 

10 years ago

Bongo5

Muigizaji Van Vicker wa Ghana aamua kuingia kwenye muziki

Muigizaji wa Ghana, Van Vicker ambaye mwaka jana mwishoni amefanya filamu na staa wa Bongo Wema Sepetu, ameamua kutupa karata yake kwenye muziki. Wema Sepetu na Van Vicker wa Ghana Akizungumza kwenye mahojiano ya hivi karibuni, Vicker ambaye pia ni producer na muongozaji wa filamu amesema kuwa ameamua kujaribu kuingia kwenye muziki kwasababu ameshafanya mengi […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Filamu: Pata Filamu ya Never Give Up kupitia Mtandao

IMG-20150119-WA0045


” And in her smile I see something more beautiful than the stars ” Fuatilia hii kupitia mtandao …….

Kwa Kuangalia Filamu hii ya Kitanzania iitwayo NEVER GIVE UP au Knunua na iwe yako kupitia mtandao.

Ili kuweza kuangalia au kununua kupitia Mtandao unachotakiwa kufanya ni kutembelea tovuti hii

http://www.proinpromotions.co.tz

Pia unaweza kuangalia au kununua filamu nyingine kupitia mtandao huo huo

 

10 years ago

Bongo5

Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe

Waigizaji wa Nollywood na mastaa wengine wa Nigeria wametumia mitandao ya kijamii kuelezea kuhuzunishwa kwao na kifo cha ghafla cha muigizaji maarufu wa Nigeria, Muna Obiekwe. Marehemu Muna Obiekwe Staa huyo alifariki Jumapili, January 18, 2015 kutokana na kushindwa kufanya kazi kwa figo zake. Miongoni mwa waliotuma salamu zao za rambi rambi ni pamoja na […]

 

5 years ago

Michuzi

Muigizaji nyota katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa afariki Dunnia.


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

MWIGIZAJI mdogo kabisa Nikita Pearl Waligwa aliyeng'ara katika filamu ya "Queen of Katwe" amefariki dunia akiwa na miaka 15 na kwa mujibu w vyombo vya habari nchini Uganda vimeripoti kuwa Nikita alipata tatizo la uvimbe kwenye ubongo.

Katika Filamu hiyo iliyotoka mwaka 2016 inamwelezea mtu mwenye maarifa kutoka maeneo ya makazi duni nchini Uganda aliyekuwa anacheza mchezo wa Chess.

Filamu hiyo ambayo ni kisa cha kweli Cha Phiona Mutesi ambaye alianza kucheza chess...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani