NI SHEEDA! MUIGIZAJI WA FILAMU SLIM ADAIWA KUGOMA KUREJESHA GARI
![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi-7aj*B9uRfn2lHldo9*C-Dxpo9TzpmOrJQNsEK9dwfTVUbB5HLTT1KK4sX1R0bbbsaH8JQtOJet*Ac-iK06zXS/slimu.jpg)
Stori: Imelda Mtema NI sheeda! Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’ amejikuta akiwekwa nguvuni katika Kituo cha Polisi cha Makangarawe, Yombo-Buza, jijini Dar akidaiwa kugoma kurejesha gari aina ya Land Lover Discovery walilopewa zawadi siku ya ndoa. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’. Gari hilo walipewa na wakwe zake alipofunga ndoa na binti yao aitwaye Asia Morgan,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vTiH9EdcK0A/VNn4HfokBOI/AAAAAAAAenU/moMXVyN_1WQ/s72-c/slim.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p0ZiZvXgHQhkHMF3-Dnc4xn7jO5iLy8*7RgVs9l8Wm0mlqmVelwIsg3jZcwhXCHbQApx07XZISpfG8y-NwFXt5CSxuQkj1*w/slim.jpg)
SLIM AANGUA KILIO GARI LIKIENDA KWA MTALAKA
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Wasambazaji wa filamu kugoma kulipa kodi ifikapo 1/7/2015
Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania, Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...
5 years ago
Bongo514 Feb
Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia
Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.
Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.
James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.
Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”
Aliongeza: “Sidhani...
9 years ago
Bongo523 Sep
Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s72-c/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
Sikiliza Audio ya Mahojiano na Ernest Napoleon, Muigizaji wa filamu ya ‘Going Bongo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s1600/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zknhA4ik6bE/VHK-RXBzKKI/AAAAAAAAPik/nusuVzL6W8Q/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Michuzi30 Oct
TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.
![](http://api.ning.com/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Muigizaji maarufu wa filamu Idris Elba atangaza kuambukizwa virusi vya Korona.