Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikiliza Audio ya Mahojiano na Ernest Napoleon, Muigizaji wa filamu ya ‘Going Bongo

 Cheif wa swahilivilla blog Abou Shatry  na Ernest NapoleonBlog ya swahilivilla imepata furasa ya kufanya mahojiano na muigizaji, muongozaji na muandishi wa  filam ya kwanza Afrika Mashariki kukubalika kuuzwa kupitia iTunes ‘Going Bongo Ernest Napoleon a-filamu-ya-kwanza-afrika-mashariki-kukubalika-kuuzwa-kupitia-itunes-07-2014/Pata filamu hiyo ya kihistoria kwenye iTunes bit.ly/goingbongoitunes ama DVD bit.ly/goingbongodvd. Check trailer hapa bit.ly/goingbongotrailer, share na wenzio.Jiunge...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Audio: Chill na Sky – With Ernest Napoleon (Going Bongo)

10575965_514928895331026_2072635263_n

Sikiliza kipindi cha Chill na Sky kikiwa na muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Filamu za Bongo hazitakufa, mfumo utabadilika – Ernest Napoleon (Video)

11820519_180167015648391_1962079100_n

Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema licha ya wasanii wa filamu Tanzania kuwa na wasiwasi kuwa kiwanda chao kinakufa, anaamini kitaendelea kuwepo na kitabadilika.

Amesema kile kinachoweza kufa ni mfumo wa filamu uliopo kwa sasa ambao anaamini unaenda kufikia kikomo.

“Bongo movie haitakufa sababu bado inatengeneza movie nyingi sana, bado ina mashabiki wengi sana, ina mastaa, ina watu wenye vipaji,” amesema.

“Kama biashara yoyote itafanya restructuring, watu wengine...

 

10 years ago

Michuzi

Mtanzania MUIGIZAJI anaeishi San Francisco Ernest Napoleon, anaomba Kura zenu

Ernest Napoleon ni Mtanzania MUIGIZAJI anaeishi San Francisco, amefanya movie inayoitwa Going Bongo bit.ly/goingbongoitunes.Hivi sasa yupo kwenye mchakacho wa kushirikishwa katika filamu ya kampuni ya Forest Whitaker inayoitwa “The Driver”. Ernest Napoleon akiwa na  Forest Steven Whitaker actor, producer, na directorwa filamu za kiMarekaniIli kufanikiwa kwenye filamu hiyo, alikuwa anahitaji kura za waTanzania na waKenya kwa ujumla ili kumfikisha Shindano hilo.Tunaomba msaada wenu wa ku...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ernest Napoleon (Going Bongo) akutana na Forest Whitaker (The Last King of Scotland)

Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amekutana na muigizaji wa Marekani, Forest Whitaker aliyeigiza kama Idi Amini kwenye filamu ya The Last King of Scotland jijini Amsterdam, Uholanzi. Whitaker na Napoleon “Forest Whitaker ni mtu ambaye nimekuwa nikimuangalia tokea utotoni. Bahati mbaya au nzuri pia amefanana sana na marehemu baba yangu. Ni idol […]

 

10 years ago

Michuzi

Sikiliza Audio ya Mahojiano ya Swahilivilla na Mwanamama 'Power Black Nyati 'Jike Jeuri',

Karibuni katika kusikiliza AUDIO ya Mahojiano na Mwanamama Maisara Juma Salah a.k.a Power Black Nyati 'Jike Jeuri', Kiboko wa Wanaume aeleza mengi kuhusu utumiaji wa nguvu zake, kama kuzuwia pikipiki kwa nyele, ubebaji mfuko wa saruji kwa meno, pamoja na kumbeba mwanamke kwa mkono wake mmoja ama kupasuliwa Jiwe kwenye kifua chake.Baada ya kuwatoa 'knock out' mabaunsa wawili, ilibidi aongezeke mwingine wawe watatu lakini bado walishindwa kupeleka kidole cha Jike Jeuri' chini wakati akifanya...

 

10 years ago

Vijimambo

Sikiliza AUDIO ya Mahojiano na Ahmed Mngazija ambae ni mmoja kati ya waathirika wa madawa ya kulevya Zanzibar

Haya ni MAHOJIANO na Ahmed Mngazija a.k.a (Pongonyongo) jinsi alivyojiingiza bila ya kutegemea katika janga la madawa ya kulevya. Ahmed azungumzia mengi juu ya maisha ya wengi walioathirika na mihadarati kisiwani ZanzibarSikujua wala sikutambua lakini nilipomsikiliza kwa makini ndipo nilipofunguka na kuelewa zaidi juu ya ndugu zetu waliotumbukia bila ya kutegemea katika uvutaji wa madawa ya kelevya, na kwa kweli wanahitaji kupewa msaada mkubwa wa kuwaponyesha na majanga haya.Jiunge nasi kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Tekno kwa Diva: Wewe ni msichana mrembo kwanini huna mpenzi?” Sikiliza mahojiano yao ya kuvutia hapa (Audio)

Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM kinachoendeshwa na Diva The Bawse kimeendelea kuvuka boda. Siku za hivi karibuni mtangazaji huyo maarufu amekuwa akihoji wasanii wengi wa nje ya Tanzania wakiwemo Iyanya, Patoranking, Maurice Kirya na sasa amezungumza na hitmaker wa Duro, Tekno Miles wa Nigeria. Kwenye mahojiano hayo Diva amemuuliza staa huyo kuhusu […]

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mtanzania

Ernest Napoleon: Hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii

Ernest Napoleon Going BongoNA FESTO POLEA

MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.

Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.

“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani