Ernest Napoleon: Hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii
NA FESTO POLEA
MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.
Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.
“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies19 Aug
Hatuwezi Kuzuia Uharamia wa Kazi za Wasanii- Ernest
MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.
Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.
“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo hivyo kila mtu...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7gp-zXgL320/default.jpg)
9 years ago
Bongo520 Dec
Audio: Chill na Sky – With Ernest Napoleon (Going Bongo)
![10575965_514928895331026_2072635263_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10575965_514928895331026_2072635263_n-300x194.jpg)
Sikiliza kipindi cha Chill na Sky kikiwa na muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo517 Dec
Filamu za Bongo hazitakufa, mfumo utabadilika – Ernest Napoleon (Video)
![11820519_180167015648391_1962079100_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11820519_180167015648391_1962079100_n-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema licha ya wasanii wa filamu Tanzania kuwa na wasiwasi kuwa kiwanda chao kinakufa, anaamini kitaendelea kuwepo na kitabadilika.
Amesema kile kinachoweza kufa ni mfumo wa filamu uliopo kwa sasa ambao anaamini unaenda kufikia kikomo.
“Bongo movie haitakufa sababu bado inatengeneza movie nyingi sana, bado ina mashabiki wengi sana, ina mastaa, ina watu wenye vipaji,” amesema.
“Kama biashara yoyote itafanya restructuring, watu wengine...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s72-c/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
Sikiliza Audio ya Mahojiano na Ernest Napoleon, Muigizaji wa filamu ya ‘Going Bongo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s1600/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zknhA4ik6bE/VHK-RXBzKKI/AAAAAAAAPik/nusuVzL6W8Q/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Bongo501 Sep
Picha: Ernest Napoleon (Going Bongo) akutana na Forest Whitaker (The Last King of Scotland)
10 years ago
MichuziMtanzania MUIGIZAJI anaeishi San Francisco Ernest Napoleon, anaomba Kura zenu
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1006095_10154662450890247_1313383734386018693_n.jpg?oh=ae9fc4abe37528cbdda018b7f9f3fd16&oe=54B54838&__gda__=1420737459_3806b5fc185d1b48867f979d7e599d71)
9 years ago
Bongo505 Dec
Kuoneshwa kwa ‘Going Bongo’ kwenye majumba ya sinema Tanzania kutaandika historia muhimu – Ernest Napoleon
![Ernest Kuonyeshwa_4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ernest-Kuonyeshwa_4-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon anaamini kuwa kuoneshwa kwa filamu ya Going Bongo kwenye majumba ya sinema nchini kutaandika historia muhimu kwenye tasnia ya filamu ya Tanzania.
Napoleon amedai kuwa uoneshwaji wa filamu kwenye majumba ya sinema ndio msingi wa mafanikio kwa soko la filamu katika nchi zilizoendelea.
Filamu yake ya Going Bongo itaanza kuoneshwa December 11, kwenye ukumbi wa sinema wa Century Cinemax uliopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
“Tunajaribu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RR-aBPwVDU8/VTJgSBJABBI/AAAAAAAHR1I/Ny3HiJeP8IE/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
hafla ya ugawaji wa Mirabaha kwa Wabunifu na wasanii Zanzibar - Balozi Seif aonya walaghai wa kazi za wasanii
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alionya kwamba wananchi wanalazimika kujenga utamaduni wa kuthamini kazi za wabunifu na wasanii kwa kuona fahari kuzilipia bila ya shuruti pale wanapozitumia jambo ambalo ni uungwana na kinyume chake inahesabika kuwa ni wizi. Alisema Serikali kupitia Ofisi ya Hakimiliki, Bodi ya Hakimiliki na Jumuiya ya Hakimiliki Zanzibar { COSOZA } itaendelea kusimamia kazi za wabunifu na wasanii ili kuona kuwa maslahi,...