hafla ya ugawaji wa Mirabaha kwa Wabunifu na wasanii Zanzibar - Balozi Seif aonya walaghai wa kazi za wasanii
![](http://4.bp.blogspot.com/-RR-aBPwVDU8/VTJgSBJABBI/AAAAAAAHR1I/Ny3HiJeP8IE/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Othman Khamis Ame, OMPR - ZNZ
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alionya kwamba wananchi wanalazimika kujenga utamaduni wa kuthamini kazi za wabunifu na wasanii kwa kuona fahari kuzilipia bila ya shuruti pale wanapozitumia jambo ambalo ni uungwana na kinyume chake inahesabika kuwa ni wizi. Alisema Serikali kupitia Ofisi ya Hakimiliki, Bodi ya Hakimiliki na Jumuiya ya Hakimiliki Zanzibar { COSOZA } itaendelea kusimamia kazi za wabunifu na wasanii ili kuona kuwa maslahi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA WASANII NA WABUNIFU ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nQvkfBGDgYs/XmpuJ9LfWII/AAAAAAAC8U0/p8vWwHI3HIcWrA8gJPXWN3eMiHh9JDZUACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA WASANII NA WABUNIFU ZANZIBAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-nQvkfBGDgYs/XmpuJ9LfWII/AAAAAAAC8U0/p8vWwHI3HIcWrA8gJPXWN3eMiHh9JDZUACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dQsx-MZOCuI/XmpvoVXRLSI/AAAAAAAC8V8/DFCOb28zszQLkreCuupndRk0kKufWRQFgCLcBGAsYHQ/s640/7.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Wasanii wamwomba JK awasaidie kupata mirabaha
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-imNoylvkOvk/U7ZgHfrw4oI/AAAAAAAFu20/b7_D8PAPthc/s72-c/030.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi autaka Uongozi wa Mamlaka ya uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar { ZIA } kuwa wabunifu
Alisema watendaji hao pia wanapaswa kubadilika na kwenda na wakati kulingana na huduma wanazotoa kwa wasafiri hasa wakizingatia kwamba uwanja huo hivi sasa unaendelea kuimarishwa katika hadhi na kiwango cha...
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Kidbwoy: Wasanii wasio wabunifu wasahau mafanikio
NA FARAJA MASINDE
MTANGAZAJI na mtayarishaji wa muziki nchini kupitia studio ya Tetemesha records, Sandu George ‘Kidbwoy’, amesema endapo wasanii wanataka kuwa na mafanikio katika kazi zao lazima wawe wabunifu.
Kidbwoy ambaye ndiye meneja wa msanii chipukizi, Barack De Prince, alisema muziki wa Tanzania unashindwa kufika anga la kimataifa kwa kuwa wasanii wengi si wabunifu na ni wavivu wa kufikiri.
“Wasanii wachanga ndio wanaonyesha kuzidi kubuni vitu vipya lakini wasanii wakongwe...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s72-c/download.jpg)
wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s1600/download.jpg)
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s72-c/1.jpg)
WASANII WA KIKE WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akitoa hotuba katika Warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XcvejFxq_7w/VmqyGzZB0gI/AAAAAAAAoyg/NjZPMbgDmGE/s640/2.jpg)