Balozi Seif Ali Iddi autaka Uongozi wa Mamlaka ya uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar { ZIA } kuwa wabunifu
![](http://4.bp.blogspot.com/-imNoylvkOvk/U7ZgHfrw4oI/AAAAAAAFu20/b7_D8PAPthc/s72-c/030.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameuagiza Uongozi pamoja na Watendaji wa Mamlaka ya uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar { ZIA } kuwa wabunifu katika kuandaa utaratibu mzuri unaokwenda na wakati ambao utaondoa usumbufu kwa wasafiri wanaotumia uwanja huo.
Alisema watendaji hao pia wanapaswa kubadilika na kwenda na wakati kulingana na huduma wanazotoa kwa wasafiri hasa wakizingatia kwamba uwanja huo hivi sasa unaendelea kuimarishwa katika hadhi na kiwango cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s72-c/004.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s640/004.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eQzm6X78kL8/VS_WFPVM7xI/AAAAAAAHRkU/r79Zoe0rUVQ/s72-c/008.jpg)
ZANZIBAR INAHITAJI KUENDELEA KUWA SALAMA NA TULIVU-BALOZI SEIF ALI IDDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eQzm6X78kL8/VS_WFPVM7xI/AAAAAAAHRkU/r79Zoe0rUVQ/s1600/008.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--n61JqiFtc0/VS_WEo931mI/AAAAAAAHRkI/tLbTmOuSwNo/s1600/984.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VmYUKcPPZ10/VXHmoWDv8xI/AAAAAAAHcYc/MhzzNw70PKw/s72-c/470.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi aupongeza Uongozi wa Chama cha Michezo cha Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-VmYUKcPPZ10/VXHmoWDv8xI/AAAAAAAHcYc/MhzzNw70PKw/s640/470.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-twVY_HRJfFQ/VXHmn-d_CLI/AAAAAAAHcYY/vcmo4UuFNjc/s640/479.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oj4rhreRSYo/VXHmq6lRcFI/AAAAAAAHcYw/G9yO6PbqKy4/s640/482.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
JAFO AUTAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUWA WABUNIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NSWX3MMtexk/XszqezXLmNI/AAAAAAALrk0/bPn3G6KjjfErEOzC-tl0Ni4hqTgreFjPQCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.54.52%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-I8y0gBhXv4o/XszqfFKLd9I/AAAAAAALrk4/IEGr8X9YOik42DvSf4K_EREXT7QJYdgwwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.56.54%2BPM.jpeg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI: POKEENI FEDHA ZA WANAOTAKA KUNUNUA UONGOZI NDANI YA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kauli hiyo ameitoa Julai 26 mwaka huu wilayani Kahama mkoani Shinyanga katika siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo akiwa ni mlezi wa CCM mkoani...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qDJ7-LUoUm0/Vg1pd5pENsI/AAAAAAAH8OM/yXNxisFvkys/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AZINDUA KAMPENI JIMBO LA UZINI, ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b_AikiDeMEE/Uve44r2owFI/AAAAAAAFL8U/Jox58rhYMqo/s72-c/unnamed+(13).jpg)
balozi seif ali iddi amwaga misaada jimboni kwake kitope, zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-b_AikiDeMEE/Uve44r2owFI/AAAAAAAFL8U/Jox58rhYMqo/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HKqObdr3Zag/Uve44hF6vII/AAAAAAAFL8Y/irzw7fuAhwM/s1600/unnamed+(14).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AQdTKxkbfsI/VmmD7Zd9lXI/AAAAAAAILd8/iAqJlitcUac/s72-c/526.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AMEMUAGIZA MKURUGENZI WA ‘ZAWA’ KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA NA KUWACHUKULIA HATUA ZA NIDHAMU KWA MUJIBU WA SHERIA WATENDAJI WA MAMLAKA HIYO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-AQdTKxkbfsI/VmmD7Zd9lXI/AAAAAAAILd8/iAqJlitcUac/s1600/526.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ru4cN6P5Zlw/VmmD71j0vBI/AAAAAAAILeA/Yt01LdanYTw/s1600/527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-efmx5Ol8s8o/VmmD7wkNxWI/AAAAAAAILeE/o1Ij2lTb0Ms/s1600/536.jpg)
Baadhi ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakitafakari na kufurahia maamuzi yaliyochukuliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA TISA WA TATHMINI YA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI