JAFO AUTAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUWA WABUNIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Shirika la Elimu Kibaha, Prof Rafael Chibunda (kulia) leo jijini Dodoma. Katikati ni Mkurugenzi wa Bodi hiyo, Robert Shillingi.
Waziri wa Nchi Ofis ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara yake, pamoja na Viongozi wapya wa Shirika la Elimu Kibaha baada ya leo kuwakabidhi vitendea kazi.
Mwenyekiti wa Shirika la Elimu Kibaha Mkoani Pwani,...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
JAFO AWATAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUFANYA KAZI KWA SPIDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NSWX3MMtexk/XszqezXLmNI/AAAAAAALrk0/bPn3G6KjjfErEOzC-tl0Ni4hqTgreFjPQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.54.52%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-I8y0gBhXv4o/XszqfFKLd9I/AAAAAAALrk4/IEGr8X9YOik42DvSf4K_EREXT7QJYdgwwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.56.54%2BPM.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-imNoylvkOvk/U7ZgHfrw4oI/AAAAAAAFu20/b7_D8PAPthc/s72-c/030.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi autaka Uongozi wa Mamlaka ya uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar { ZIA } kuwa wabunifu
Alisema watendaji hao pia wanapaswa kubadilika na kwenda na wakati kulingana na huduma wanazotoa kwa wasafiri hasa wakizingatia kwamba uwanja huo hivi sasa unaendelea kuimarishwa katika hadhi na kiwango cha...
11 years ago
MichuziProf. Mchome awataka Watumishi wa Wizara ya Elimu kuwa Wabunifu
“Watumishi wa Wizara hii tunatakiwa tujiulize tunafanya ubunifu gani ili kuhakisha wahitimu katika ngazi mbalimbali wanapata maarifa yanayotakiwa na wanaoweza kusaidia nchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eCFTtYgiwCE/Xm29abyyaiI/AAAAAAALjsQ/qMB9fRIyiz0EBTWHCttQfTpPRw4iUMfmQCLcBGAsYHQ/s72-c/44a4ada5-ff85-4eb5-82a1-e10105da1f98.jpg)
MKOA WA GEITA WAPONGEZWA KWA KUWA WABUNIFU KWENYE MIUNDOMBINU YA ELIMU
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli amefurahishwa na ubunifu wa kutumia tofali mfungamano (Interlock) kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa katika kukabiliana na mrundikano wa wanafunzi katika shule za Mkoa wa Geita.
Mweli ameonyesha furaha yake wakati wa ziara ya kikazi Mkoani humo iliyokua na lengo la kukagua miundombinu ya Elimu iliyojengwa na inayoendelea kujengwa pamoja na kupokea changamoto za walimu na kuzitolea ufafanuzi.
Akiwa Mkoani Geita Mweli...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AllixfSaP3k/Xr6qBS83uaI/AAAAAAALqXg/6XiVdJ9YC9AbUWdubWS3KWK1iDqXT_jvwCLcBGAsYHQ/s72-c/B32A9700.jpg)
Naibu Waziri Nyongo autaka uongozi wa Stamigold kushirikiana na wafanyakazi kuzalisha kwa ufanisi
![](https://1.bp.blogspot.com/-AllixfSaP3k/Xr6qBS83uaI/AAAAAAALqXg/6XiVdJ9YC9AbUWdubWS3KWK1iDqXT_jvwCLcBGAsYHQ/s640/B32A9700.jpg)
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akionesha eneo alipokuwa akipewa maelekezo ya namna kazi za uchimbaji zinavyofanyika katika mgodi wa Stamigold uliopo wilayani Biharamulo mkoani Kagera alipofanya ziara ya kikazi mgodini hapo. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9749.jpg)
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akitoa maelekezo kwa viongozi na watumishi wa mgodi wa Stamigold mara baada ya kupokea taarifa za kiutendaji na kukagua mgodi huo. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9730.jpg)
Meneja wa uchimbaji, Mhandisi...
5 years ago
CCM BlogNAIBU WAZIRI NYONGO AUTAKA UONGOZI WA STAMIGOLD KUSHIRIKIANA NA WAFANYAKAZI KUZALISHA MADINI KWA UFANISI
Na Nuru Mwasampeta, WM
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameutaka uongozi wa Mgodi wa Stamigold kuwajali wafanyakazi na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuongeza uzalishaji katika mgodi huo. Amesema ,uongozi wa wizara utafika mgodini hapo mara kwa mara kusikiliza na kutatua changamoto zao ili kuongeza uzalishaji.
Amewataka viongozi hao kufanya kazi na wasambazaji na wataalamu wa nje wenye uadilifu na ufanisi mkubwa ili kusaidia katika kuongeza uzalishaji mgodini hapo. “Msione shida...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Hii ndiyo sababu ya kuwa na sera mpya ya elimu
10 years ago
Mwananchi17 Feb
UCHAMBUZI: Hii ndiyo sababu ya kuwa na sera mpya ya elimu
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wataalam watakiwa kuwa wabunifu
Waatalamu wa Sekta za Nishati na Madini, wametakiwa kuwa wabunifu katika maandalizi na usimamizi wa miradi ili sekta hizo ziwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Wito...