UCHAMBUZI: Hii ndiyo sababu ya kuwa na sera mpya ya elimu
>Serikali imekusudia kuleta mapinduzi ya kiuchumi ili kuibadili Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Hii ndiyo sababu ya kuwa na sera mpya ya elimu
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza
Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.
Na modewji blog team
Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
‘Hii ndiyo sababu ya kufunguliwa escrow’
10 years ago
CloudsFM10 Dec
Sababu Ya Diddy Kumpiga Drake Ndiyo Hii
Diddy aligombana na Drake jumatatu asubuhi baada ya sherehe ya siku ya kuzaliwa na Dj Khaled nje ya club ya LIV huko Miami Beach na sababu ikiwa Diddy alihisi amekosewa heshima na Drake.
Producer maarufu Boi-1da aliwapa Diddy na Drake wimbo huu ili warekodi miezi nane iliyopita ila Drake alikwenda...
10 years ago
Bongo Movies08 May
Hii ndiyo Sababu ya Ray Kutooa Hadi Sasa
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefungukia sababu za kutooa licha ya kwamba umri umekwenda.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.
Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo asiingie kwenye maisha ya ndoa.
“Unajua hili suala la ndoa ni...
10 years ago
Bongo Movies28 Jul
Hii Ndiyo Sababu Inayomfanya JB Kuonekana Anacheka Kila Saa
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ameeleza kuwa mkeo ndiyo sababu ya yeye kuonekana mwenye furaha wakati wote.
JB alifunguka hayo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram , ambapo aliweka picha hiyo hapo akiwa na mkeo nakuandika;
Kupenda si kumiliki tu bali kumfanya umpendae awe na furaha ndio maana halisi ya kupenda....kusema huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu nimefunga nae pingu za maisha haitoshi....asante kwa kunifanya niwe nafuraha na kuweza kufanya kazi zangu...
10 years ago
Vijimambo14 Feb