MKOA WA GEITA WAPONGEZWA KWA KUWA WABUNIFU KWENYE MIUNDOMBINU YA ELIMU

NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli amefurahishwa na ubunifu wa kutumia tofali mfungamano (Interlock) kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa katika kukabiliana na mrundikano wa wanafunzi katika shule za Mkoa wa Geita.
Mweli ameonyesha furaha yake wakati wa ziara ya kikazi Mkoani humo iliyokua na lengo la kukagua miundombinu ya Elimu iliyojengwa na inayoendelea kujengwa pamoja na kupokea changamoto za walimu na kuzitolea ufafanuzi.
Akiwa Mkoani Geita Mweli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziProf. Mchome awataka Watumishi wa Wizara ya Elimu kuwa Wabunifu
“Watumishi wa Wizara hii tunatakiwa tujiulize tunafanya ubunifu gani ili kuhakisha wahitimu katika ngazi mbalimbali wanapata maarifa yanayotakiwa na wanaoweza kusaidia nchi...
5 years ago
CCM Blog
JAFO AUTAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUWA WABUNIFU



5 years ago
Michuzi
LAZIMA KUWA WABUNIFU KWENYE UKUSANYAJI WA MADUHULI -PROF. KIKULA

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula ( wa pili kushoto) akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kwenye eneo la Sinai Wilayani Mufindi kwenye ziara yake aliyoifanya Mkoani Iringa tarehe 15 Februari, 2020 yenye lengo la kukagua shughuli za uchimbaji wa madini, kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini. Kushoto ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Iringa, Mhandisi Abdulrahman Milandu.

10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Wanadiaspora wapongezwa kwa kusaidia gurudumu la elimu Zanzibar

Yahya Ame kulia, akionesha makala ya kitabu. Na Abou Shatry Washington DC Jumuiya ya Wazanzibari waishio Nchini Marekani (ZADIA), imepongezwa kwa kusaidia gurudumu la maendeleo ya Elimu visiwani Zanzibar. Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Zanzibar Bw. Suleiman Yahya Ame wakati wa kupokea mchango wa vitabu vya Ufundi na Mafunzo ya Amali uliotolewa na ZADIA kwa ajili ya shule za ufundi visiwani humo. Akizungumza kama mgeni rasmi...
11 years ago
Michuzi12 Apr
MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE YAFANA, MKUU WA MKOA ATILIA MKAZO SUALA LA ELIMU
11 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wazazi wapongezwa muamko wa elimu
WAZAZI mkoani hapa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwasomesha watoto wao katika shule zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi bila kujali hali duni za familia zao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu...
11 years ago
Michuzi
NSSF YAPIMA AFYA BURE KWA WAKAZI WA MKOA GEITA



10 years ago
Michuzi.jpg)
NHIF NA PSPF WATOA ELIMU KWENYE MKUTANO MKUU WA VIONGOZI WA CWT MKOA WA LINDI
.jpg)