NHIF NA PSPF WATOA ELIMU KWENYE MKUTANO MKUU WA VIONGOZI WA CWT MKOA WA LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-AeQWPo95YUg/VTfoaiXibHI/AAAAAAAHSn8/3LdB4GT_b6I/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
Meneja wa mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Fortunata Raymond akitoa elimu kuhusu maboresho yanayoendelea kufanywa na mfuko mbele ya viongozi na wawakilishi wa chama cha walimu mkoa wa Lindi,wakati wa mkutano wa mwaka wa chama hicho,ambapo alisema kwa sasa katika kukabiliana na changamoto ya huduma ya dawa mfuko umeanzisha mkopo wa dawa na vitendanishi kwa vituo vilivyosajiliwa na mfuko, ambapo bodi ya wakurugenzi iliridhia kutolewa kwa mikopo hiyo tangu mwezi Oktoba.2014.Mkutano huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNHIF LINDI WAWAPA SOMO VIONGOZI WA TALGWU MKOA WA LINDI
11 years ago
MichuziNHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nZXkrzx064Y/VZBR-JDBoSI/AAAAAAAHlQ0/x9WngzAfY84/s72-c/unnamed.jpg)
PSPF YAIPIGA JEKI OFISI YA MKUU WA MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nZXkrzx064Y/VZBR-JDBoSI/AAAAAAAHlQ0/x9WngzAfY84/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-r2oXze0zSBQ/VZBR-0MgO8I/AAAAAAAHlQ4/i2fzK273Gvk/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara watoa msaada wa mashuka 100 kwenye hospitali ya mji wa Babati (Mrara).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzSkkWD86-QggH9tkpoQca4QSZp46IYO-xcjxm7huy4zkJnSGV*7J*AdvTJC8wkR2aCpzqqzM78jnVCNL7ON*Qhs/flaviana4.jpg?width=650)
FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA HALMASHAURI ZA LINDI NA NACHINGWEA MKOANI LINDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s72-c/04.jpg)
TCAA watoa Elimu ya Usafiri wa Anga kwa wananchi waliofika kwenye maonesho ya Nanena yanayofanyika Ngongo, Lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s640/04.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fUTdt9PRtKc/VcOscd9n7rI/AAAAAAAHuuw/CRsRaD0E1h8/s640/05.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TUUoi_f0Pn8/VcOsc3thu4I/AAAAAAAHuu0/EpGPqxnEKJQ/s640/06.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
11 years ago
Michuzi12 Apr
MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE YAFANA, MKUU WA MKOA ATILIA MKAZO SUALA LA ELIMU
11 years ago
MichuziNHIF YAWAHIMIZA WAKAZI WA MKOA WA LINDI NA MTWARA KUPIMA AFYA ZAO
Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya Lindi vijijini,Bw Ngaticheakipima afya yake katika banda la NHIF alipotembelea banda hilo katikaviwanja vya nanenane Ngongo
Naibu waziri wa kilimo na chakula ,Godfrey Zambi akipokeamaalezo mbalimbali kuhusiana na NHIF Toka kwa meneja wa mkoa wa Lindi Bi Fortunata Kullaya huku Mkurugenzi wa masoko Bw Raphae mwamoto akisikiliza kwa umakini kuhusiana na Chf inavyofanya vizuri wilayani Nachingwea.