NHIF Mkoa wa Manyara watoa msaada wa mashuka 100 kwenye hospitali ya mji wa Babati (Mrara).
Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela (kulia) akipokea moja kati ya msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya mji wa Babati (Mrara) anayemkabidhi ni meneja wa NHIF Mkoani humo, Isaya Shekifu.
Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela (kulia) akipokea msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya mji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNHIF YATOA MSAADA WA MASHUKA 100 HOSPITALI YA MJI WA BABATI
10 years ago
MichuziNHIF WATOA MSAADA WA MASHUKA 120 HOSPITALI YA MANISPAA YA TEMEKE
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida
Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00136.jpg?width=650)
NHIF YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA 200 KWA HOSPITALI YA MKOA MJINI SINGIDA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L3yruAQOY-8/VD6Ide55NVI/AAAAAAAGqqE/C-morK-QBqc/s72-c/1.jpg)
NHIF yatoa msaada wa mashuka Hospitali ya Vijibweni
![](http://3.bp.blogspot.com/-L3yruAQOY-8/VD6Ide55NVI/AAAAAAAGqqE/C-morK-QBqc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--NxqcyVw2PQ/VD6IdaYL6gI/AAAAAAAGqqM/jGhCnq4yR5Q/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HkPURBFyqkM/VD6IdhK0EOI/AAAAAAAGqqI/dE3deGhes5w/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF YATOA MSAADA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA BABATI
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Wasanii na Serengeti watoa msaada wa milioni 3 kwa hospitali ya mkoa wa Mara
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF yakabidhi mashuka hospitali ya wilaya
Akikabidhi mashuka hayo kwa uongozi wa hospitali ya wilaya ya Kibondo, meneja wa NHIF mkoa kigoma,Elius Odhiambo alisema kuwa kutolewa kwa mashuka hayo ni sehemu ya mpango wa mfuko huo katika kuboresha utoaji huduma katika sekta ya afya.
Odhiambo alisema kuwa mashuka hayo yaliyotolewa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AeQWPo95YUg/VTfoaiXibHI/AAAAAAAHSn8/3LdB4GT_b6I/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
NHIF NA PSPF WATOA ELIMU KWENYE MKUTANO MKUU WA VIONGOZI WA CWT MKOA WA LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-AeQWPo95YUg/VTfoaiXibHI/AAAAAAAHSn8/3LdB4GT_b6I/s1600/unnamed%2B(62).jpg)