Picha: Wasanii na Serengeti watoa msaada wa milioni 3 kwa hospitali ya mkoa wa Mara
Wasanii wa muziki wakishirikiana na kampuni ya bia ya Serengeti leo wametoa msaada wa shilingi milioni tatu kwa hospitali ya Mkoa wa Mara kwaajili ya kununulia madawa na vifaa vingine vitakavyosaidia matibabu ya majeruhi wa ajali ya mabasi iliyotokea Ijumaa iliyopita na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 35. Shilole akimsalimia mgonjwa Akizungumza katika hospitali […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWASANII WA SERENGETI FIESTA WATOA MSAADA KWA MAJERUHI WA AJALI MUSOMA
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara watoa msaada wa mashuka 100 kwenye hospitali ya mji wa Babati (Mrara).
10 years ago
MichuziMKOA WA IDARA ZA SERIKALI NA MABALOZI WA NSSF WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida
Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...
10 years ago
GPLNHIF YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA 200 KWA HOSPITALI YA MKOA MJINI SINGIDA
11 years ago
MichuziWafanyakazi wa Airtel watoa msaada hospitali ya Ocean Road
10 years ago
MichuziMISS TANZANIA WATOA MSAADA HOSPITALI YA KILEMA NA MARANGU MOSHI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziNHIF WATOA MSAADA WA MASHUKA 120 HOSPITALI YA MANISPAA YA TEMEKE