Wafanyakazi wa Airtel watoa msaada hospitali ya Ocean Road

Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Diva’, Amitin Mbamba (kulia), akikabidhi msaada wa machela za kisasa mbili, ‘wheel chair’ mbili na bidhaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya milioni 5/-, kwa Muuguzi Mkuu wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), Mary Haule, kwaajili ya matumizi ya wagongwa katika taasisi hiyo, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia ni wanachama wa Airtel Diva.
Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Wafanyakazi Airtel watoa msaada Ocean Road
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Umoja wa Wanawake ujulikanao kama ‘Airtel Divas’ umetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya...
5 years ago
Michuzi
Wafanyakazi wa Benki ya NMB Waisaidia Hospitali ya Ocean Road

10 years ago
Michuzi23 Dec
Kampuni ya TTCL yatoa msaada Hospitali ya Ocean Road



5 years ago
MichuziWafanyakazi Wanawake wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii watoa msaada wa vifaa tiba Hospitali ya Palestina
11 years ago
Mwananchi13 May
Kashfa Hospitali ya Ocean Road
10 years ago
Michuzi
UWF YATOA MSAADA OCEAN ROAD SIKU YA WANAWAKE DUNIANI




9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Waziri Ummy Mwalimu amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road
Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Diwani Msemo.
10 years ago
GPL
UWF YATOA MSAADA OCEAN ROAD SIKU YA WANAWAKE DUNIANI