Wafanyakazi Airtel watoa msaada Ocean Road
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Umoja wa Wanawake ujulikanao kama ‘Airtel Divas’ umetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dYgRvcbegI0/U4wuqF1zFzI/AAAAAAAFnGE/djHbOppD0Bw/s72-c/1.jpg)
Wafanyakazi wa Airtel watoa msaada hospitali ya Ocean Road
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYgRvcbegI0/U4wuqF1zFzI/AAAAAAAFnGE/djHbOppD0Bw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-btmcYkRs8yo/U4wv9iT0w-I/AAAAAAAFnHg/blg_btldfhg/s1600/2a.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JXe827GjW24/XvGW-KFhB4I/AAAAAAAEH-c/1ZeKE1CHl_YGuufaNQmkBFTJ_y9hQ8GBACLcBGAsYHQ/s72-c/image002.jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NMB Waisaidia Hospitali ya Ocean Road
Benki ya NMB wakati wote inaamini katika kugusa na kubadili maisha ya wanajamii, ushiriki wa Wafanyakazi katika programu za kuisaidia jamii umeongezeka maradufu ukichangiwa zaidi na ari waliyonayo kutaka kupunguza changamoto na kero zilizopo kwenye jamii inayowazunguka na wanayoihudumia.
Kaimu Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Seka Urio (kushoto) akimkabidhi vifaa vya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Tiba wa Taasisi ya Ocean Road , Dk. Asafu Munema ikiwa ni michango ya wafanyakazi wa Benki...
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXe827GjW24/XvGW-KFhB4I/AAAAAAAEH-c/1ZeKE1CHl_YGuufaNQmkBFTJ_y9hQ8GBACLcBGAsYHQ/s640/image002.jpg)
10 years ago
Michuzi23 Dec
Kampuni ya TTCL yatoa msaada Hospitali ya Ocean Road
![Mkuu wa Huduma kwa wateja wa kampuni ya TTCL, Laibu Leonard (wa kwanza kulia) akimkabidhi baadhi ya misaada Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Ocean Road, Marry Haule (nguo ya bluu) waliyoitoa kwa wagonjwa. Wengine ni maofisa wa TTCL.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_00203.jpg)
![Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wakishusha bidhaa mbalimbali ambazo wamezitoa kama msaada kwa wagonjwa wa kansa Hospitalini hapo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_00351.jpg)
![Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Ocean Road, Marry Haule (nguo ya bluu) akishukuru TTCL mara baada ya kukabidhiwa msaada huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0052.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WyBaGgWDJoo/VQA9cZdEF-I/AAAAAAABcy4/Rw2c3Zr095Y/s72-c/DSC_0121.jpg)
UWF YATOA MSAADA OCEAN ROAD SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-WyBaGgWDJoo/VQA9cZdEF-I/AAAAAAABcy4/Rw2c3Zr095Y/s1600/DSC_0121.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qxrMnI1Q__0/VQA9b6T_n4I/AAAAAAABcy0/93tbd4XNaps/s1600/DSC_0127.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bYwPYdYsKH0/VQA9cXQPoEI/AAAAAAABczE/McUkKjjw2KY/s1600/DSC_0161.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yCRZl0M3Xss/VQA9dDSOo2I/AAAAAAABczI/3EcDlCVKHYY/s1600/DSC_0175.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-WyBaGgWDJoo/VQA9cZdEF-I/AAAAAAABcy4/Rw2c3Zr095Y/s1600/DSC_0121.jpg)
UWF YATOA MSAADA OCEAN ROAD SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
 Mwenyekiti wa Unity Women Foundation (UWF), Maryam Ajmy akiwa akikusanya misaada waliyokuwa wakitoa katika hospitali ya Ocean Road jijini Dar es…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO4taT-NXmjX4frUFa6MOsqQlbdc1iQOykigLTy9gc8ZE10w57shs0kC6g53eybPucTp*BYr5wIEpYsNTV5V0TL-/1A.jpg?width=650)
AIRTEL DIVAS WATOA MSAADA KWA WANAMAKE WASIOJIWEZA
Mgeni Rasmi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kazi Services Ltd, Zuhura Muro (kushoto), huku akisaidiwa na Makamu Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Divas’, Happy John wakikata keki kuashiria uzinduzi rasmi wa kikundi hicho, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katika uzinduzi huo, Airtel iliweza kukisadia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DbQ2tuw9UFI/U6KxDpd-BQI/AAAAAAAFro8/NijwOtE43G4/s72-c/1A.jpg)
Airtel Divas watoa msaada kwa wanawake wasiojiweza
Umoja wa wafanyakazi wanawake wa Airtel ujulikanao kama Airtel Divas umejitoa kuwasaidia na Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (SWAUTA ) kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bzW9hcMYB4k/U9dbk59TtpI/AAAAAAAF7lo/e-veQju4c-w/s72-c/unnamed+(22).jpg)
WAFANYAKAZI WAISLAMU WA VODACOM TANZANIA NA MARAFIKI ZAO WATOA MSAADA KITUO CHA YATIMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bzW9hcMYB4k/U9dbk59TtpI/AAAAAAAF7lo/e-veQju4c-w/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ddWJhEeKFok/U9dblB8cE2I/AAAAAAAF7mQ/ScNO0sYfdJ0/s1600/unnamed+(23).jpg)
5 years ago
MichuziWafanyakazi Wanawake wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii watoa msaada wa vifaa tiba Hospitali ya Palestina
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania