AIRTEL DIVAS WATOA MSAADA KWA WANAMAKE WASIOJIWEZA
![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO4taT-NXmjX4frUFa6MOsqQlbdc1iQOykigLTy9gc8ZE10w57shs0kC6g53eybPucTp*BYr5wIEpYsNTV5V0TL-/1A.jpg?width=650)
Mgeni Rasmi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kazi Services Ltd, Zuhura Muro (kushoto), huku akisaidiwa na Makamu Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Divas’, Happy John wakikata keki kuashiria uzinduzi rasmi wa kikundi hicho, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katika uzinduzi huo, Airtel iliweza kukisadia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DbQ2tuw9UFI/U6KxDpd-BQI/AAAAAAAFro8/NijwOtE43G4/s72-c/1A.jpg)
Airtel Divas watoa msaada kwa wanawake wasiojiweza
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Wafanyakazi Airtel watoa msaada Ocean Road
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Umoja wa Wanawake ujulikanao kama ‘Airtel Divas’ umetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dYgRvcbegI0/U4wuqF1zFzI/AAAAAAAFnGE/djHbOppD0Bw/s72-c/1.jpg)
Wafanyakazi wa Airtel watoa msaada hospitali ya Ocean Road
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYgRvcbegI0/U4wuqF1zFzI/AAAAAAAFnGE/djHbOppD0Bw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-btmcYkRs8yo/U4wv9iT0w-I/AAAAAAAFnHg/blg_btldfhg/s1600/2a.jpg)
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Airtel Divas yasaidia wanawake walemavu
UMOJA wa Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Airtel (Airtel Divas) umejitoa kusaidia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (Swauta) kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam. Wafanyakazi hao wa Airtel...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tjAIfUyeX0o/U7ZmdjKUyGI/AAAAAAAFu4Y/RqDknh5FVXE/s72-c/2.jpg)
Airtel Divas yatembelea kikundi cha Sauti ya walemavu kwenye Maonyesho ya Biashara ya Sabasaba
![](http://4.bp.blogspot.com/-tjAIfUyeX0o/U7ZmdjKUyGI/AAAAAAAFu4Y/RqDknh5FVXE/s1600/2.jpg)
11 years ago
GPLAIRTEL DIVAS YATEMBELEA KIKUNDI CHA SAUTI YA WALEMAVU KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA YA SABASABA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RnchDMyuvI8/XtFUxP3nPFI/AAAAAAALsB4/bpC2zbwuLSctmRlUOv21kCRo_jTLHQBhgCLcBGAsYHQ/s72-c/koffee.jpg)
MGAHAWA WA THE KOFFEE SHOP WATOA MSAADA KWA WANAHABARI IRINGA
MGAHAWA wa kisasa wa The Koffee Shop ulioko manispaa ya Iringa umetoa msaada wa vitakasa mikono 150 na barakao 100 na ndoo 15 kwa waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari vya mkoa wa Iringa ili waweze kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona.
Akizungumzia msaada huo mwakilishi wa The Koffe Shop Charles Cosmas kwa niaba ya Mkurugenzi wa mgahawa huo, Ahmed Salim Abri alisema wameamua kusaidia kundi hilo kutokana na mchango...
10 years ago
Vijimambo29 Nov
MFUKO WA GEPF WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI