Airtel Divas yatembelea kikundi cha Sauti ya walemavu kwenye Maonyesho ya Biashara ya Sabasaba
![](http://4.bp.blogspot.com/-tjAIfUyeX0o/U7ZmdjKUyGI/AAAAAAAFu4Y/RqDknh5FVXE/s72-c/2.jpg)
Wanachama wa Kikundi cha Wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Divas’, Meneja wa Huduma kwa Jamii, Hawa Bayumi (kushoto), Afisa Uhusiano, Jane Matinde (wa pili kushoto), na Afisa mauzo, Rachael Mboya (kulia), wakichagua bidhaa zilizotengenezwa na Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (SWAUTA) cha Kinondoni, walipotembelea Banda la Swauta, lililopo katika Uwanja wa Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam jana. Airtel...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAIRTEL DIVAS YATEMBELEA KIKUNDI CHA SAUTI YA WALEMAVU KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA YA SABASABA
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Airtel Divas yasaidia wanawake walemavu
UMOJA wa Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Airtel (Airtel Divas) umejitoa kusaidia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (Swauta) kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam. Wafanyakazi hao wa Airtel...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
VIDEO: MAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR (SABASABA)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fXN_c5dJraM/U7PKebR5KUI/AAAAAAAFuK0/OXMt5hIWU20/s72-c/b1.jpg)
PSPF katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam a.k.a Sabasaba
![](http://1.bp.blogspot.com/-fXN_c5dJraM/U7PKebR5KUI/AAAAAAAFuK0/OXMt5hIWU20/s1600/b1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AlOMYXzZOFA/U7PKeWvFtOI/AAAAAAAFuKs/2i4nilh7ptQ/s1600/b2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jFOM4_XTWWY/U7PKeX9cX8I/AAAAAAAFuKo/aXpHq5V1F_U/s1600/b3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iWV6MCJ-zsU/VJf0nmYd82I/AAAAAAAG5AE/mYvsZhM5HEc/s72-c/2.jpg)
Airtel yawapatia kundi la walemavu mtaji na mafunzo ya biashara
![](http://1.bp.blogspot.com/-iWV6MCJ-zsU/VJf0nmYd82I/AAAAAAAG5AE/mYvsZhM5HEc/s1600/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s72-c/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
AIRTEL YANG’ARA KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s640/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
Kushoto) akimkabithi kikombe Afisa masoko na biashara wa Airtel ,
Emmanuel Raphael mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel
kuibuka mshindi wa pili katika maonyesho ya Biashara ya Afrika
Mashariki ya mwaka huu. Katika maonyesho hayo Airtel ilipata makombe
manne katika vipengele mbalimbali ikiwemo, Mtoa huduma bora , Mtoa
huduma bora katika sekta ya mawasiliano, ubora katika mawasiliano ya
habari na tecknologia pamoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XTRb30jGT2Y/U7WKgo9Yd3I/AAAAAAAFuto/fSkupEOGoYg/s72-c/b2.jpg)
Mh. Pinda atembelea Banda la PSPF kwenye Maonyesho ya Sabasaba
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTRb30jGT2Y/U7WKgo9Yd3I/AAAAAAAFuto/fSkupEOGoYg/s1600/b2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLKnHa-OKqc/U7WKieh6-fI/AAAAAAAFutw/07GthcV8l7k/s1600/b3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGayE3y55lE5UUnumzvvIlbg-1DF*HtSRLo4CONQfLpmdS2hhDO-uxZtncbibhRDlCLwy54AFra--TujYAMov-Pw/b2.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g1SZPuzC_SU/U7nHmv2QEyI/AAAAAAAFvXE/3Y-xmzSRcsA/s72-c/34.jpg)
BANDA LA BENKI KUU LAWAVUTIA WENGI KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-g1SZPuzC_SU/U7nHmv2QEyI/AAAAAAAFvXE/3Y-xmzSRcsA/s1600/34.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zv_okSf6l1o/U7nHmV8lxfI/AAAAAAAFvXQ/cTF0pER-7ws/s1600/35.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UXXBmJdhIJw/U7nHmfCqfFI/AAAAAAAFvXI/yq9kuIVD1rs/s1600/36.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gXUii69TD4M/U7nHoO_uIUI/AAAAAAAFvXc/J7METXDZWas/s1600/37.jpg)