MGAHAWA WA THE KOFFEE SHOP WATOA MSAADA KWA WANAHABARI IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RnchDMyuvI8/XtFUxP3nPFI/AAAAAAALsB4/bpC2zbwuLSctmRlUOv21kCRo_jTLHQBhgCLcBGAsYHQ/s72-c/koffee.jpg)
NA DENIS MLOWE, IRINGA
MGAHAWA wa kisasa wa The Koffee Shop ulioko manispaa ya Iringa umetoa msaada wa vitakasa mikono 150 na barakao 100 na ndoo 15 kwa waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari vya mkoa wa Iringa ili waweze kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona.
Akizungumzia msaada huo mwakilishi wa The Koffe Shop Charles Cosmas kwa niaba ya Mkurugenzi wa mgahawa huo, Ahmed Salim Abri alisema wameamua kusaidia kundi hilo kutokana na mchango...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziZIMAMOTO IRINGA WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JESHI la Zimamoto mkoani Iringa limesheherekea sikukuu ya pasaka na watoto wanaoishi katika kituo cha kulea yatima cha Sister Theresia kilichoko Tosamaganga mkoani Iringa kwa kuwapatia misaada mbalimbali.
Akikabidhi msaada huo Kamanda wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa Iringa Inspekta Kennedy...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO4taT-NXmjX4frUFa6MOsqQlbdc1iQOykigLTy9gc8ZE10w57shs0kC6g53eybPucTp*BYr5wIEpYsNTV5V0TL-/1A.jpg?width=650)
AIRTEL DIVAS WATOA MSAADA KWA WANAMAKE WASIOJIWEZA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DbQ2tuw9UFI/U6KxDpd-BQI/AAAAAAAFro8/NijwOtE43G4/s72-c/1A.jpg)
Airtel Divas watoa msaada kwa wanawake wasiojiweza
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
MichuziGEPF WATOA MSAADA KWA TAASISI YA ALLIANCE FOR SOCIAL ALLEVATION (ASE)
10 years ago
GPLHIGH CLASS NA MKUBWA NA WANAWE WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
Vijimambo29 Nov
MFUKO WA GEPF WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI
11 years ago
Dewji Blog15 May
Access Bank watoa msaada wa Kompyuta kwa shule ya sekondari Azania
![access 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/access-1.jpg)
![aces](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/aces.jpg)
Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta kwa wanafunzi waliowawakilisha wenzao, anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa...
11 years ago
MichuziUbalozi wa China watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko mkaoni Morogoro