Airtel Divas watoa msaada kwa wanawake wasiojiweza
![](http://4.bp.blogspot.com/-DbQ2tuw9UFI/U6KxDpd-BQI/AAAAAAAFro8/NijwOtE43G4/s72-c/1A.jpg)
Umoja wa wafanyakazi wanawake wa Airtel ujulikanao kama Airtel Divas umejitoa kuwasaidia na Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (SWAUTA ) kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO4taT-NXmjX4frUFa6MOsqQlbdc1iQOykigLTy9gc8ZE10w57shs0kC6g53eybPucTp*BYr5wIEpYsNTV5V0TL-/1A.jpg?width=650)
AIRTEL DIVAS WATOA MSAADA KWA WANAMAKE WASIOJIWEZA
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Airtel Divas yasaidia wanawake walemavu
UMOJA wa Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Airtel (Airtel Divas) umejitoa kusaidia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (Swauta) kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam. Wafanyakazi hao wa Airtel...
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka kuzingirwa na maji ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.
Hayo yalibainishwa na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...
5 years ago
MichuziWANAWAKE WAPWANI GENERATION WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIBAHA
NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWatoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha Sharom kilichopo kata ya Msangani Wilayani Kibaha Mkoani Pwani wamemuomba Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwasaidia kwa hali na mali kuwasaidia kuwatatulia changamoto mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya chakulai,nguo, huduma za matibabu pamoja na ujenzi wa jengo la nyumba kwa ajili ya kuweza kuishi.
Baadhi ya watoto hao akiwemo Sara Yendemba Dickson Michael na wakizungumza...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Wafanyakazi Airtel watoa msaada Ocean Road
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Umoja wa Wanawake ujulikanao kama ‘Airtel Divas’ umetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dYgRvcbegI0/U4wuqF1zFzI/AAAAAAAFnGE/djHbOppD0Bw/s72-c/1.jpg)
Wafanyakazi wa Airtel watoa msaada hospitali ya Ocean Road
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYgRvcbegI0/U4wuqF1zFzI/AAAAAAAFnGE/djHbOppD0Bw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-btmcYkRs8yo/U4wv9iT0w-I/AAAAAAAFnHg/blg_btldfhg/s1600/2a.jpg)
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR
5 years ago
MichuziWafanyakazi Wanawake wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii watoa msaada wa vifaa tiba Hospitali ya Palestina
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tjAIfUyeX0o/U7ZmdjKUyGI/AAAAAAAFu4Y/RqDknh5FVXE/s72-c/2.jpg)
Airtel Divas yatembelea kikundi cha Sauti ya walemavu kwenye Maonyesho ya Biashara ya Sabasaba
![](http://4.bp.blogspot.com/-tjAIfUyeX0o/U7ZmdjKUyGI/AAAAAAAFu4Y/RqDknh5FVXE/s1600/2.jpg)