WANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
VICTOR MASANGU, RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka kuzingirwa na maji ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.
Hayo yalibainishwa na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziUbalozi wa China watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko mkaoni Morogoro
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s72-c/E86A7121%2B(800x533).jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI HAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s640/E86A7121%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOY994MG_L0/VVCzunUSCmI/AAAAAAAAPRo/mQOSauN1OIo/s640/E86A7134%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lyl8c2TtWIs/VVCzuGnMiNI/AAAAAAAAPRs/Nmvigz3gGcg/s640/E86A7138%2B(800x450).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI1510.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MBEGU ZA MAHINDI KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO LINDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1510.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0218.jpg)
RED CROSS YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MTO WA MBU-ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0218.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GeD2BonvIO4/Xl0omYzDHGI/AAAAAAAAQVY/i7-84Oe9AQwq40IGUGDhbSvnyoIuPbAQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0219.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dIPP2YCJe_Y/Xl0oxxpcFxI/AAAAAAAAQVc/MKTRi_LeNXI3lNW4ovwJY4jItvhG-S34QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0221.jpg)
Na,Vero...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s72-c/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
KAMPUNI YA BONITE BOTTLERS YAMWAGA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s640/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khLW74G9fuw/VV2G4BAwvJI/AAAAAAAAPw4/Ut-WXgVb60w/s640/E86A8111%2B%2528800x533%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d53eA494jrA/Xqg_oZF6oEI/AAAAAAAAH1k/392opMhx4qUQevjelNm1dtXa8I6JFTt8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_132812.jpg)
ARIFU ABRI ATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBINGAMA PAWAGA,MKOANI IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-d53eA494jrA/Xqg_oZF6oEI/AAAAAAAAH1k/392opMhx4qUQevjelNm1dtXa8I6JFTt8QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_132812.jpg)
Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kukabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa kitongoji cha Mbingama tarafa ya Pawaga.
NA FREDY MGUNDA, IRINGA.
MJUMBE wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri ametoa msaada wa chakula tani tatu kwa ajili ya wahanga wa mafuriko wa kijiji cha Isele kilichoko tarafa ya Pawaga wilaya ya Iringa vijijini mkoanbi Iringa kwa kuwa wanakabiliwa na...
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.
Kaimu Katibu Mkuu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwmzZ3uN*6uiVUSNwe3IRa5CuMPDDddtuHcn37G-LHRFosMMXDQlfDEumLLwlKXPsXYqCXgscKId1Eoa3GolUpa4/1.jpg?width=650)
TIGO YAKABIDHI MSAADA KWA SHIRIKA LA RED CROSS TANZANIA KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DUMILA NA DAR ES SALAAM