TIGO YAKABIDHI MSAADA KWA SHIRIKA LA RED CROSS TANZANIA KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DUMILA NA DAR ES SALAAM
![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwmzZ3uN*6uiVUSNwe3IRa5CuMPDDddtuHcn37G-LHRFosMMXDQlfDEumLLwlKXPsXYqCXgscKId1Eoa3GolUpa4/1.jpg?width=650)
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila - Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.
Kaimu Katibu Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0218.jpg)
RED CROSS YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MTO WA MBU-ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0218.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GeD2BonvIO4/Xl0omYzDHGI/AAAAAAAAQVY/i7-84Oe9AQwq40IGUGDhbSvnyoIuPbAQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0219.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dIPP2YCJe_Y/Xl0oxxpcFxI/AAAAAAAAQVc/MKTRi_LeNXI3lNW4ovwJY4jItvhG-S34QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0221.jpg)
Na,Vero...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lqsTQm7_coI/VVDB4wZ12jI/AAAAAAAHWp8/V7lWXI8HpUY/s72-c/696.jpg)
RED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya Nyumba 700 kuathirika ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TANZANIA YAIKABIDHI MALAWI MSAADA KWA AJILI YA WAHANGA WA MAFURIKO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-2uBxgoakQKY%2FVRU48qrNOJI%2FAAAAAAAAcI4%2FnEADakrZ5Qg%2Fs1600%2Fmalawi2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-FNJ9q3OwvjM%2FVRU5ABZazJI%2FAAAAAAAAcJA%2FLJqh-RH3yjQ%2Fs1600%2Fmalawi5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1W4CAiDvMk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z6ekupjVKe4/VUw5APbpLlI/AAAAAAAA8sY/zOJ40sJ4t6c/s72-c/RED%2BCROSS.jpg)
MWENYEKITI WA RED CROSS MKOA ARUSHA AKABIDHI MSAADA KWA WALEMAVU
![](http://4.bp.blogspot.com/-z6ekupjVKe4/VUw5APbpLlI/AAAAAAAA8sY/zOJ40sJ4t6c/s320/RED%2BCROSS.jpg)
CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross), Mkoa wa Arusha, kimetoa msaada wa vyakula, viatu, Blanketi na nguo, kwa wazee nane na watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali 22, ikiwa ni maadhimisho ya chama hicho Duniani, ambapo kilele chake Mei 8 kila mwaka.
Akizungumza leo Jijini Arusha, wakati akikabidhi misaada hiyo, Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba mwekundu Mkoa wa Arusha, Christopher Nzera, amesema kuwa misaada hiyo ni moja ya shughuli zao wanazofanya za kusaidia...
11 years ago
MichuziUbalozi wa China watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko mkaoni Morogoro
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s72-c/E86A7121%2B(800x533).jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI HAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s640/E86A7121%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOY994MG_L0/VVCzunUSCmI/AAAAAAAAPRo/mQOSauN1OIo/s640/E86A7134%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lyl8c2TtWIs/VVCzuGnMiNI/AAAAAAAAPRs/Nmvigz3gGcg/s640/E86A7138%2B(800x450).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI