RED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-lqsTQm7_coI/VVDB4wZ12jI/AAAAAAAHWp8/V7lWXI8HpUY/s72-c/696.jpg)
Chama cha Msalaba mwekundu Tanzania { red Cross } kimekabidhi msaada wa viatu Pair 90 kwa ajili ya watoto wa familia zilizowekwa Kambini katika Skuli ya Sekondari ya Mwanakwerekwe “C” baada ya Nyumba zao kujaa maji ya mvua.
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya Nyumba 700 kuathirika ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.
Kaimu Katibu Mkuu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwmzZ3uN*6uiVUSNwe3IRa5CuMPDDddtuHcn37G-LHRFosMMXDQlfDEumLLwlKXPsXYqCXgscKId1Eoa3GolUpa4/1.jpg?width=650)
TIGO YAKABIDHI MSAADA KWA SHIRIKA LA RED CROSS TANZANIA KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DUMILA NA DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCpsuxl3BYk/VQhhYsiKeAI/AAAAAAAHLH0/jGrl9YzpJ38/s72-c/SAM_3111%5B1%5D.jpg)
TTCL yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGe3LJ0dHasyttnc9M4K6autBMnOXE4byPHFiLJn8HSmPPSVY2lHA4j31KA6IEyPr59N5*g8x1m8dT5PORgXWKL/002.jpg?width=650)
RED CROSS YAPIGWA JEKI KUWASAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0218.jpg)
RED CROSS YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MTO WA MBU-ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0218.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GeD2BonvIO4/Xl0omYzDHGI/AAAAAAAAQVY/i7-84Oe9AQwq40IGUGDhbSvnyoIuPbAQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0219.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dIPP2YCJe_Y/Xl0oxxpcFxI/AAAAAAAAQVc/MKTRi_LeNXI3lNW4ovwJY4jItvhG-S34QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0221.jpg)
Na,Vero...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qoniYiAy5PI/VQF4TqKwYWI/AAAAAAAHJ1E/GnTTiFk80RA/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
Airtel yatoa msaada kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Akionge wakati wa makabithiano ya msaada huu, Meneja mauzo wa Airtel Shinyanga Bwana Ezekiel Nungwi alisema” Tunaungana kwa pamoja katika maafa haya na kutoa pole kwa...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TANZANIA YAIKABIDHI MALAWI MSAADA KWA AJILI YA WAHANGA WA MAFURIKO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-2uBxgoakQKY%2FVRU48qrNOJI%2FAAAAAAAAcI4%2FnEADakrZ5Qg%2Fs1600%2Fmalawi2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-FNJ9q3OwvjM%2FVRU5ABZazJI%2FAAAAAAAAcJA%2FLJqh-RH3yjQ%2Fs1600%2Fmalawi5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s72-c/002.SOLA.jpg)
Vodacom Foundation yakabidhi msaada wa Umeme Jua kwa wahanga wa mvua Kahama
![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s1600/002.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P3p9T7HQvKc/VRkz3I4XB0I/AAAAAAAHOVc/W5kupGtdH8g/s1600/001.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-839vyAEbjGk/VRkz3Mud_-I/AAAAAAAHOVg/sM7zxM0uubQ/s1600/004.SOLA.jpg)
11 years ago
Michuzi22 Feb
KAMPUNI YA MONABAN YAKABIDHI MSAADA WILAYA YA HAI KWA AJILI YA WAHANGA WA MAAFA
![DSCF2880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/0TSqwTC1r8IFiV-gERF8PRYbUs45EF_jjVZn7XaOdfnowwzy7nGeEWMXYLcsjBrA_XD_u8Bz2gVcWkUL8VQPDgdQYtRh0y51XnYDFLwK563ceQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2880.jpg)
![DSCF2878](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Dw645iXcfLR4Pqf3qf4kU0NWABigyGK4A6H3AdEKLvJDWmVxuBtN5XGp_3l6ovIJ1df_GXX-j6IDiy3cca6FrBUX88XbbGmb2DW1dziVNx0ZTQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2878.jpg)