KAMPUNI YA MONABAN YAKABIDHI MSAADA WILAYA YA HAI KWA AJILI YA WAHANGA WA MAAFA
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha unga kilichopo jijini Arusha Bw.Philemon Mollel akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Hai Mh.Novatus Makunga msaada wa Tani nne za unga wenye thamani ya shilingi Milioni 4.2,baada ya wilaya yake kupata maafa yaliyotokana na mvua zilizoambatana na upepo mkali na kusababisha badhii ya watu kukosa nyumba za kuishi
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha unga Arusha Philemon Mollel akiongea mbele ya wanakijiji(hawapo pichani)namna alivyoguswa na maafa hayo yaliyopelekea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNHC Kilimanjaro yatoa msaada wa bati kwa wahanga wa mvua ya Upepo wilaya za Mwanga na Hai.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfvhH4v_HnU/Uzudj2vWxiI/AAAAAAAAB5s/Vr7QAWGNda0/s1600/2014-03-27+11.11.28.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-BUY53CquY/UzudkrND6ZI/AAAAAAAAB50/hEhOmYT827g/s1600/2014-03-27+11.11.37.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCpsuxl3BYk/VQhhYsiKeAI/AAAAAAAHLH0/jGrl9YzpJ38/s72-c/SAM_3111%5B1%5D.jpg)
TTCL yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lqsTQm7_coI/VVDB4wZ12jI/AAAAAAAHWp8/V7lWXI8HpUY/s72-c/696.jpg)
RED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya Nyumba 700 kuathirika ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TANZANIA YAIKABIDHI MALAWI MSAADA KWA AJILI YA WAHANGA WA MAFURIKO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-2uBxgoakQKY%2FVRU48qrNOJI%2FAAAAAAAAcI4%2FnEADakrZ5Qg%2Fs1600%2Fmalawi2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-FNJ9q3OwvjM%2FVRU5ABZazJI%2FAAAAAAAAcJA%2FLJqh-RH3yjQ%2Fs1600%2Fmalawi5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s72-c/002.SOLA.jpg)
Vodacom Foundation yakabidhi msaada wa Umeme Jua kwa wahanga wa mvua Kahama
![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s1600/002.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P3p9T7HQvKc/VRkz3I4XB0I/AAAAAAAHOVc/W5kupGtdH8g/s1600/001.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-839vyAEbjGk/VRkz3Mud_-I/AAAAAAAHOVg/sM7zxM0uubQ/s1600/004.SOLA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NSzqhiwUFCs/XmIdOCc7CBI/AAAAAAALhcg/fM0Cn9houFAZWXSm_iIiNmZb6JJJLinmwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2033.jpg)
NMB yakabidhi vifaa kwa Wilaya ya Hai na Ilala
Jijini Dar es Salaam, NMB imetoa msaada yenye thamani ya Sh. Mil. 15 kwa Shule ya Sekondari Tambaza, iliyopo Upanga na Kituo cha Afya Pugu Kajiungeni wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wakati Mkoani Kilimanjaro imekabidhi vifaa tiba kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*UTaZUkFNAd81bpz00GS8S0CQlVCIk3OlP-FwvD02UHg70FKgtxO3KYG-auGjG5HVObePngSbuTE8Ngbv*6i3a/004.SOLA.jpg?width=650)
VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MSAADA WA UMEME JUA KWA WAHANGA WA MVUA KAHAMA