Vodacom Foundation yakabidhi msaada wa Umeme Jua kwa wahanga wa mvua Kahama
![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s72-c/002.SOLA.jpg)
Mkuu wa Vodacom Tanzania,Kanda ya Tanganyika George Venanty(kushoto) na Meneja Masoko wa Kampuni ya Associate AEG Winnie Nyamubi(kulia) wakielezea matumizi ya Umeme Jua”Solar Power” wakati wakukabidhi msaada huo uliotolewa na Vodacom Foundation kwa wahanga wa maafa ya mvua kwenye kijiji cha mwakata wilayani Kahama Mkoani Shinyanga mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga(kulia) akipokea msaada wa Umeme Jua ”Solar Power”kwa niaba ya wahanga wa maafa ya mvua uliotolewa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*UTaZUkFNAd81bpz00GS8S0CQlVCIk3OlP-FwvD02UHg70FKgtxO3KYG-auGjG5HVObePngSbuTE8Ngbv*6i3a/004.SOLA.jpg?width=650)
VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MSAADA WA UMEME JUA KWA WAHANGA WA MVUA KAHAMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCpsuxl3BYk/VQhhYsiKeAI/AAAAAAAHLH0/jGrl9YzpJ38/s72-c/SAM_3111%5B1%5D.jpg)
TTCL yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qoniYiAy5PI/VQF4TqKwYWI/AAAAAAAHJ1E/GnTTiFk80RA/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
Airtel yatoa msaada kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Akionge wakati wa makabithiano ya msaada huu, Meneja mauzo wa Airtel Shinyanga Bwana Ezekiel Nungwi alisema” Tunaungana kwa pamoja katika maafa haya na kutoa pole kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tnkKBYC5xnY/VPmSJk-LnVI/AAAAAAAHIAY/Xpexb79a1ZI/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
Akiongea na waandishi wa habari leo,Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia amesema anawaomba watanzania wote wanaotaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3IvMr*vJcULDKTNbrCvRbHl09gBrlkVdloy2OHVnF9UifbQBx2w7HaOLeUt0Yx3MgDs8lszAeDqjZmN9FiPzAJd/001.REDALERT.jpg)
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lqsTQm7_coI/VVDB4wZ12jI/AAAAAAAHWp8/V7lWXI8HpUY/s72-c/696.jpg)
RED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya Nyumba 700 kuathirika ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...
11 years ago
Michuzi22 Feb
KAMPUNI YA MONABAN YAKABIDHI MSAADA WILAYA YA HAI KWA AJILI YA WAHANGA WA MAAFA
![DSCF2880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/0TSqwTC1r8IFiV-gERF8PRYbUs45EF_jjVZn7XaOdfnowwzy7nGeEWMXYLcsjBrA_XD_u8Bz2gVcWkUL8VQPDgdQYtRh0y51XnYDFLwK563ceQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2880.jpg)
![DSCF2878](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Dw645iXcfLR4Pqf3qf4kU0NWABigyGK4A6H3AdEKLvJDWmVxuBtN5XGp_3l6ovIJ1df_GXX-j6IDiy3cca6FrBUX88XbbGmb2DW1dziVNx0ZTQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2878.jpg)
11 years ago
MichuziNHC Kilimanjaro yatoa msaada wa bati kwa wahanga wa mvua ya Upepo wilaya za Mwanga na Hai.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfvhH4v_HnU/Uzudj2vWxiI/AAAAAAAAB5s/Vr7QAWGNda0/s1600/2014-03-27+11.11.28.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-BUY53CquY/UzudkrND6ZI/AAAAAAAAB50/hEhOmYT827g/s1600/2014-03-27+11.11.37.jpg)
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA MABATI, SARUJI KWA WAATHIRIKA WA JANGA LA MVUA KAHAMA