TBL YATOA MSAADA WA MABATI, SARUJI KWA WAATHIRIKA WA JANGA LA MVUA KAHAMA
Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya watu waliopatwa na janga la mvua ya mawe katika kata ya Mwakata ambae ni mkuu wa wilaya ya Kahama, Benson Mpesya wa katikati akipokea msaada wa vifaa vya ujenzi mabati 176 na mifuko ya saruji 130 vilivyotolewa na kampuni ya bia ya TBL kulia anayekabidhi ni meneja mauzo na usabazaji Godwin Zakaria na kushoto ni mjumbe wa kamati Patrick Kalangwa ambae ni mkurugenzi wa halmashauri ya Msalala lengo la msaada huo ni kuunga mkono ahadi ya Rais Jakaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Chadema yatoa mabati 850 kwa waathirika mafuriko Kahama
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr.Slaa-16March2015.jpg)
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa (pichani), alisema msaada huo una thamani ya Sh. milioni 12.
Dk. Slaa alifafanua kuwa kati ya kiasi hicho cha fedha zilizonunua mabati, Sh. milioni 10 ni sehemu ya ruzuku inayotolewa na...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...
10 years ago
Michuzi20 Mar
Benki ya Posta yawapa msaada waathirika wa mvua ya mawe Kahama
![Meneja wa Benki ya Posta Tawi la Shinyanga Lawrence Munisi (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kahama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa Benson Mpesya (kushoto) msaada wa tani saba na nusu za saruji kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokana na mvua yam awe yaliyotokea kijiji cha Mwakata Wilaya ya Kahama.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/Maafa-1.png)
![Mkuu wa Wilaya ya Kahama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa Benson Mpesya (kulia) akitoa shukrani kwa Benki ya Posta mara baada ya kupokea msaada wa tani saba na nusu za mifuko ya saruji zilizotolewa na benki hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/Maafa-2.png)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
ALAF yatoa msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari wilaya ya Mbeya
Meneja wa Kampuni ya ALAF Tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kabla ya kumkabidhi msaada wa mabati 384 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King, akitoa shukrani kwa kampuni ya ALAF kwa kujitolea mabati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Wilaya ya Mbeya.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King na Meneja wa ALAF tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s72-c/002.SOLA.jpg)
Vodacom Foundation yakabidhi msaada wa Umeme Jua kwa wahanga wa mvua Kahama
![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s1600/002.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P3p9T7HQvKc/VRkz3I4XB0I/AAAAAAAHOVc/W5kupGtdH8g/s1600/001.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-839vyAEbjGk/VRkz3Mud_-I/AAAAAAAHOVg/sM7zxM0uubQ/s1600/004.SOLA.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hIBB5Bp5Jk8/VQMR6FEz24I/AAAAAAAHKI4/bEpNleVA9q8/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE WAFIWA NA WAATHIRIKA WA MVUA YA MAWE KAHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hIBB5Bp5Jk8/VQMR6FEz24I/AAAAAAAHKI4/bEpNleVA9q8/s1600/k1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgSy7DNV8_M/VQMR6fNugWI/AAAAAAAHKJA/aBEVzmoYwD8/s1600/k2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PAz97aEjRUk/VOmqdss3pXI/AAAAAAAHFKM/wm4iniRsgsw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*UTaZUkFNAd81bpz00GS8S0CQlVCIk3OlP-FwvD02UHg70FKgtxO3KYG-auGjG5HVObePngSbuTE8Ngbv*6i3a/004.SOLA.jpg?width=650)
VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MSAADA WA UMEME JUA KWA WAHANGA WA MVUA KAHAMA