VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MSAADA WA UMEME JUA KWA WAHANGA WA MVUA KAHAMA
![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*UTaZUkFNAd81bpz00GS8S0CQlVCIk3OlP-FwvD02UHg70FKgtxO3KYG-auGjG5HVObePngSbuTE8Ngbv*6i3a/004.SOLA.jpg?width=650)
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga (kulia) akipokea msaada wa Umeme Jua â€Solar Powerâ€kwa niaba ya wahanga wa maafa ya mvua uliotolewa na Vodacom Foundation kutoka kwa Mkuu wa Vodacom kanda ya Tanganyika,George Venanty. Mkuu wa Vodacom Tanzania,Kanda ya Tanganyika George Venanty(kushoto) na…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s72-c/002.SOLA.jpg)
Vodacom Foundation yakabidhi msaada wa Umeme Jua kwa wahanga wa mvua Kahama
![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s1600/002.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P3p9T7HQvKc/VRkz3I4XB0I/AAAAAAAHOVc/W5kupGtdH8g/s1600/001.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-839vyAEbjGk/VRkz3Mud_-I/AAAAAAAHOVg/sM7zxM0uubQ/s1600/004.SOLA.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCpsuxl3BYk/VQhhYsiKeAI/AAAAAAAHLH0/jGrl9YzpJ38/s72-c/SAM_3111%5B1%5D.jpg)
TTCL yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Kampuni ya Simu Tanzania(TTCL) yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama. Msaada uliotolewa ni pamoja na mchele kilo 740, unga kilo 600, maharage kilo 300 na mafuta ya kupikia lita 260.
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3IvMr*vJcULDKTNbrCvRbHl09gBrlkVdloy2OHVnF9UifbQBx2w7HaOLeUt0Yx3MgDs8lszAeDqjZmN9FiPzAJd/001.REDALERT.jpg)
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akionesha namba ya Red Alert ambayo watanzania wote wenye nia ya kuwasaidia wahanga watume michango yao kwenye hiyo namba.Jinsi ya kutuma ponyeza *150*00# alafu unachagua namba 4 yaani Lipa kwa M PESA baada ya hapo utachagua namba 4 tena yaani weka namba ya kampuni unaweka namba 155990 alafu unaweka namba ya kumbukumbu ambayo ni namba yako ya simu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qoniYiAy5PI/VQF4TqKwYWI/AAAAAAAHJ1E/GnTTiFk80RA/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
Airtel yatoa msaada kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetembelea wahanga wa mfuriko ya mvua katika wilaya ya kahama mkoani shinyanga kwa kuwapatia msaada wa mahitaji muhimu yanayoitajika kwa sasa. Zaidi ya watu 35 walifariki na kuwaacha mamia wakiwa hawana makazi ya kukaa kufatia mvua kubwa iliyonyesha mwanzoni mwa mwezi machi mwaka huu
Akionge wakati wa makabithiano ya msaada huu, Meneja mauzo wa Airtel Shinyanga Bwana Ezekiel Nungwi alisema” Tunaungana kwa pamoja katika maafa haya na kutoa pole kwa...
Akionge wakati wa makabithiano ya msaada huu, Meneja mauzo wa Airtel Shinyanga Bwana Ezekiel Nungwi alisema” Tunaungana kwa pamoja katika maafa haya na kutoa pole kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tnkKBYC5xnY/VPmSJk-LnVI/AAAAAAAHIAY/Xpexb79a1ZI/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeeleza kuguswa na tukio la mvua kubwa iliyonyesha wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambayo imesababisha vifo vya watu 42 na wengine mamia kujeruhiwa na kuacha familia nyingi zikiwa hazina makazi na kuanzia leo imeanza kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tukio hilo.
Akiongea na waandishi wa habari leo,Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia amesema anawaomba watanzania wote wanaotaka...
Akiongea na waandishi wa habari leo,Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia amesema anawaomba watanzania wote wanaotaka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lqsTQm7_coI/VVDB4wZ12jI/AAAAAAAHWp8/V7lWXI8HpUY/s72-c/696.jpg)
RED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR
Chama cha Msalaba mwekundu Tanzania { red Cross } kimekabidhi msaada wa viatu Pair 90 kwa ajili ya watoto wa familia zilizowekwa Kambini katika Skuli ya Sekondari ya Mwanakwerekwe “C” baada ya Nyumba zao kujaa maji ya mvua.
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya Nyumba 700 kuathirika ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya Nyumba 700 kuathirika ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...
11 years ago
Michuzi22 Feb
KAMPUNI YA MONABAN YAKABIDHI MSAADA WILAYA YA HAI KWA AJILI YA WAHANGA WA MAAFA
![DSCF2880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/0TSqwTC1r8IFiV-gERF8PRYbUs45EF_jjVZn7XaOdfnowwzy7nGeEWMXYLcsjBrA_XD_u8Bz2gVcWkUL8VQPDgdQYtRh0y51XnYDFLwK563ceQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2880.jpg)
![DSCF2878](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Dw645iXcfLR4Pqf3qf4kU0NWABigyGK4A6H3AdEKLvJDWmVxuBtN5XGp_3l6ovIJ1df_GXX-j6IDiy3cca6FrBUX88XbbGmb2DW1dziVNx0ZTQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2878.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XoSJR01ryMNS6tZg7QJUY74wi8xo-5ttSq5oQQnjfmGjgWX0ZF8BrR7UhqqlRypIBPbyDWfkKuezyWIY4Re1cO/001.MLIMANI.jpg?width=650)
SHULE YA MSINGI MLIMANI JIJINI DAR YAFAIDIKA NA MSAADA WA KOMPYUTA 20 TOKA VODACOM FOUNDATION
Baadhi ya wanafunzi wa darasa la saba wa shule ya Msingi Mlimani ya jijini Dar es Salaam,wakiwa wamebeba baadhi ya kompyuta kati ya(20) zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation na kukabidhiwa na Mkuu wa taasisi hiyo, Renatus Rwehikiza(kulia) Msaada huo ulitolewa na Taasisi hiyo kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo kujifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo. Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kushoto)akimkabidhi...
11 years ago
MichuziNHC Kilimanjaro yatoa msaada wa bati kwa wahanga wa mvua ya Upepo wilaya za Mwanga na Hai.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfvhH4v_HnU/Uzudj2vWxiI/AAAAAAAAB5s/Vr7QAWGNda0/s1600/2014-03-27+11.11.28.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-BUY53CquY/UzudkrND6ZI/AAAAAAAAB50/hEhOmYT827g/s1600/2014-03-27+11.11.37.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania