Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RED CROSS YAPIGWA JEKI KUWASAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA

Rais wa Tanzania Red Cross, Dr. George Nangale,  akifurahia jambo wakati akipokea mfano wa hundi ya Shilingi Milioni kumi kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha kusaidia jamii" Vodacom Foundation" Yessaya Mwakifulefule. Fedha hizo zimetolewa kwa chama hicho kwa ajili ya kuimarisha huduma na kusaidia waliokumbwa na maafa ya mafuriko yaliyotokea Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro na kuacha mamia ya kaya bila makazi. Wanaoshuhudia ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR

Chama cha Msalaba mwekundu Tanzania { red Cross } kimekabidhi msaada wa viatu Pair 90 kwa ajili  ya watoto wa familia zilizowekwa Kambini  katika Skuli ya Sekondari ya Mwanakwerekwe “C” baada ya Nyumba zao kujaa maji ya mvua.
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya  Nyumba 700 kuathirika  ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...

 

5 years ago

Michuzi

RED CROSS YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MTO WA MBU-ARUSHA

 Kulia ni Muwakishi wa rais Redcross Taifa Ndg Japhet Shirima akikabidhi msaada kwa mzee Asanterabi Shoo ambae ni miongoni mwa waathirika wa mafuriko eneo la mto wa mbu wilayani Monduli kufuatia Mvua zinazo endelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini.Timu ya chama cha msalaba mwekundu wakiwa katika Kata ya Mto wa Mbu mkoani Arusha.Dora Mushi-Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba mwekundu mkoani  Arusha akizungumza na baadhi ya wananchi wa Mto wa mbu waliopatwa na madhila ya mafuriko.
Na,Vero...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam

1

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.

2

 Kaimu Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

GPL

TIGO YAKABIDHI MSAADA KWA SHIRIKA LA RED CROSS TANZANIA KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DUMILA NA DAR ES SALAAM‏

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila - Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wahanga wa Viwanja Kilosa kumwona JK

SAM_1377

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wa wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni.

Na Mwandishi wetu

KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani humo kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi, limepuuzwa na kusababisha wahanga hao kukusudia kuonana naye.

Hata hivyo, uongozi wa Halmashauri akiwemo Mkurugenzi, Idd Mshili na Mwenyekiti, Ameir...

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima 300 wa Kilosa, Chamwino kupigwa jeki

SERIKALI ina mpango wa kufikia wakulima 300 wa wilaya za Kilosa mkoani Morogoro na Chamwino mkoani Dodoma. Lengo la mpango huo ni kusaidia kutambua changamoto za kilimo zinazowakabili na namna ya kuzipatia suluhu.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Halmashauri Magu yapigwa jeki


NA SARAH ONESMO, MWANZA
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, imepokea vifaa vipya vya afya na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
Msaada huo umetolewa na Taasisi ya Grena Youth Production School (GYPS) ya Denmark na utaihusu Kata ya Nyanguge, ambako tayari vifaa hivyo vimekabidhiwa kwa uongozi.
Vifaa hivyo ni robota moja ya mashuka ya wagonjwa, nguo za madaktari na wauguzi, mashine ya utrasound, mashine moja ya EKG ya kupimia wagonjwa wa moyo na kompyuta 95.
Akizungumza na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Zimamoto Mwanza yapigwa jeki


NA BLANDINA  ARISTIDES, MWANZA
KIKOSI cha Zimamoto mkoani Mwanza, kimepokea msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya sh. milioni mbili kutoka washirika wa maendeleo.
Msaada uliokabidhiwa ni buti jozi sita, majaketi 12, makoti 15, suruali 22, kofia ngumu 10, kofia za kawaida 10, fulana tano na ovaroli mbili kwa ajili ya utekeleza wa majukumu yao ya kazi.

Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto, Inspekta Augustine Magere, alisema kutokana na kuongezeka kwa idadi kubwa ya watu katika jiji la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huduma ya afya yapigwa jeki

SHIRIKA la Walter  Red Program (HJFMRI) limetoa msaada wa pikipiki 24 zenye thamani ya sh. 52,800,000 kwa Halmashauri za Mkoa wa Katavi kwa ajili ya kutolea huduma za afya ili kusaidia ufuatiliaji wa wagonjwa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani