Wakulima 300 wa Kilosa, Chamwino kupigwa jeki
SERIKALI ina mpango wa kufikia wakulima 300 wa wilaya za Kilosa mkoani Morogoro na Chamwino mkoani Dodoma. Lengo la mpango huo ni kusaidia kutambua changamoto za kilimo zinazowakabili na namna ya kuzipatia suluhu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGe3LJ0dHasyttnc9M4K6autBMnOXE4byPHFiLJn8HSmPPSVY2lHA4j31KA6IEyPr59N5*g8x1m8dT5PORgXWKL/002.jpg?width=650)
RED CROSS YAPIGWA JEKI KUWASAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino
10 years ago
Habarileo30 Nov
Vijana watakaojiunga pamoja kupigwa jeki
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema iko tayari kusaidia vijana watakaojiunga katika vikundi vya ujasiriamali kwa kuwapa mikopo nafuu kutoka kwenye mfuko wa maendeleo ya vijana ulioanzishwa na wizara hiyo.
10 years ago
Habarileo30 May
Wanawake kupigwa jeki wawe wabunifu
MKURUGENZI wa Utafiti na Maendeleo kutoka Wizara ya Kilimo,Chakula na Ushirika, Dk Fidelis Myaka amesema wizara hiyo itaendelea kuwasaidia wanawake nchini kuwa na ubunifu wa kiteknolojia na zana za kilimo ili kuwapunguzia kazi na kuokoa muda wa kufanya kazi za nyumbani.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Wakulima, wafugaji wazidi kuuana Kilosa
10 years ago
Habarileo19 Feb
Wanne wafa mgogoro wa wakulima, wafugaji Kilosa
WATU wanne wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa na kulazwa katika kituo cha afya cha Mtakatifu Joseph kilichopo kata ya Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, baada ya kuzuka kwa mapigano baina ya wakulima na wafugaji.
11 years ago
Habarileo09 Apr
FAO yawapiga jeki wakulima wa mwani
SHIRIKA la Chakula na Kilimo (FAO) limeweka mikakati kuhakikisha wakulima wa zao la mwani wanapiga hatua kubwa na kuongeza mapato na kuondokana na umasikini wa kipato.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QfKUtqKSCiA/Vlwd-1NXThI/AAAAAAABlDU/3OXh7_7qZqk/s72-c/Eunice.jpg)
WAKULIMA ZAIDI YA 300 WA MKOA WA MTWARA WAJIUNGA NA NSSF
Kampeni hiyo yenye malengo ya kufikia umma wa Watanzania ambao haujafikiwa na elimu ya Hifadhi ya jamii, Kuwaandikisha kujiunga na NSSF ili kuongeza wigo wa wanachama na pia Kupata mrejesho wa huduma zetu kutoka kwa wanachama wa mfuko.
Imemaliza mkoani Mtwara na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gAIz8XA_emk/VYCd_2YMHjI/AAAAAAAAS1A/K0v8lGIEjWg/s72-c/IMG-20150615-WA0074.jpg)
MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA RAJAB MSABAHA KAUZELA AENDELEA NA ZIARA ZA UFUNGUZI WA MATAWI YA CHADEMA JIMBONI KILOSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gAIz8XA_emk/VYCd_2YMHjI/AAAAAAAAS1A/K0v8lGIEjWg/s640/IMG-20150615-WA0074.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--XIDaazNF0U/VYCd_wLt1cI/AAAAAAAAS1E/Js2vlgddoA0/s640/IMG-20150615-WA0076.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZNMbe4iXn5w/VYCd_0sKuuI/AAAAAAAAS1M/Xr64PHEa9Ks/s640/IMG-20150615-WA0083.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r_in6x89OZs/VYCeEgAZ3xI/AAAAAAAAS1c/f8Gs5nkpu4k/s640/IMG-20150615-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-euy7poih4kU/VYCeEz6OM4I/AAAAAAAAS14/cg4NKED40ow/s640/IMG-20150615-WA0078%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-REgLQL4rYXY/VYCeE7HF33I/AAAAAAAAS1Y/Dmkb8ST_Myo/s640/IMG-20150615-WA0089.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0xIWAU7wBws/VYCeFLH85WI/AAAAAAAAS1g/cyajnGWBahA/s640/IMG-20150615-WA0095.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--cEkomPKyGg/VYCeFQdG4eI/AAAAAAAAS1o/Uy7-Bh0b15U/s640/IMG-20150615-WA0099.jpg)