Wanawake kupigwa jeki wawe wabunifu
MKURUGENZI wa Utafiti na Maendeleo kutoka Wizara ya Kilimo,Chakula na Ushirika, Dk Fidelis Myaka amesema wizara hiyo itaendelea kuwasaidia wanawake nchini kuwa na ubunifu wa kiteknolojia na zana za kilimo ili kuwapunguzia kazi na kuokoa muda wa kufanya kazi za nyumbani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Nov
Vijana waambiwa wawe wabunifu
VIJANA wameshauriwa kuwa wabunifu wa miradi mbalimbali na kufikiri njia mbadala za kujipatia kipato ili kuweza kujiajiri na kuepukana na ajira tegemezi.
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Wakuu wa wilaya wawe wabunifu wa miradi
10 years ago
Habarileo30 Nov
Vijana watakaojiunga pamoja kupigwa jeki
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema iko tayari kusaidia vijana watakaojiunga katika vikundi vya ujasiriamali kwa kuwapa mikopo nafuu kutoka kwenye mfuko wa maendeleo ya vijana ulioanzishwa na wizara hiyo.
11 years ago
Habarileo18 Aug
Wakulima 300 wa Kilosa, Chamwino kupigwa jeki
SERIKALI ina mpango wa kufikia wakulima 300 wa wilaya za Kilosa mkoani Morogoro na Chamwino mkoani Dodoma. Lengo la mpango huo ni kusaidia kutambua changamoto za kilimo zinazowakabili na namna ya kuzipatia suluhu.
11 years ago
Habarileo27 Dec
Shirika lapiga jeki dawati la wanawake
SHIRIKA la misaada la Action Aid limetoa msaada wa vifaa mbali mbali, ikiwemo kompyuta kwa Jeshi la Polisi Mahonda Mkoa wa Kaskazini.
5 years ago
MichuziWanawake Njombe wawapiga jeki mahabusu na wafungwa
11 years ago
Michuzi17 Feb
BENKI YA WANAWAKE TANZANIA YAJITOSA KUPIGA JEKI MAANDALIZI YA TUZO YA MWANAMAKUKA 2014