Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake kupigwa jeki wawe wabunifu

MKURUGENZI wa Utafiti na Maendeleo kutoka Wizara ya Kilimo,Chakula na Ushirika, Dk Fidelis Myaka amesema wizara hiyo itaendelea kuwasaidia wanawake nchini kuwa na ubunifu wa kiteknolojia na zana za kilimo ili kuwapunguzia kazi na kuokoa muda wa kufanya kazi za nyumbani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Vijana waambiwa wawe wabunifu

VIJANA wameshauriwa kuwa wabunifu wa miradi mbalimbali na kufikiri njia mbadala za kujipatia kipato ili kuweza kujiajiri na kuepukana na ajira tegemezi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakuu wa wilaya wawe wabunifu wa miradi

Tanzania ni nchi iliyo na wingi wa rasilimali, hata hivyo kwa bahati mbaya ni kwamba zimeshindwa kutumika vizuri kuharakisha maendeleo.

 

10 years ago

Habarileo

Vijana watakaojiunga pamoja kupigwa jeki

WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema iko tayari kusaidia vijana watakaojiunga katika vikundi vya ujasiriamali kwa kuwapa mikopo nafuu kutoka kwenye mfuko wa maendeleo ya vijana ulioanzishwa na wizara hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Wakulima 300 wa Kilosa, Chamwino kupigwa jeki

SERIKALI ina mpango wa kufikia wakulima 300 wa wilaya za Kilosa mkoani Morogoro na Chamwino mkoani Dodoma. Lengo la mpango huo ni kusaidia kutambua changamoto za kilimo zinazowakabili na namna ya kuzipatia suluhu.

 

11 years ago

Habarileo

Shirika lapiga jeki dawati la wanawake

SHIRIKA la misaada la Action Aid limetoa msaada wa vifaa mbali mbali, ikiwemo kompyuta kwa Jeshi la Polisi Mahonda Mkoa wa Kaskazini.

 

5 years ago

Michuzi

Wanawake Njombe wawapiga jeki mahabusu na wafungwa

Na Amiri kilagalila,Njombe Wakati baadhi ya wanawake wakiungana mkoani Njombe kuadhimisha siku ya wanawake duniani inayotarajiwa kufikia kilele chake hapo machi 8 mwaka huu,wananchi wametakiwa kuacha tabia ya kukataa kujitokeza kutoa ushahidi mahakamani ili kukamilisha upelelezi utakaosaidia kupunguza msongamano wa mahabusu na wafungwa gerezani. Kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Njombe katibu tawala wilaya bwana Emmanuel George baada ya kufika katika gereza la wilaya ya Njombe (Mpechi) na...

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA WANAWAKE TANZANIA YAJITOSA KUPIGA JEKI MAANDALIZI YA TUZO YA MWANAMAKUKA 2014

 Meneja Mradi wa Mwanamakuka Bi.Maryam Shamo akizungumzia maandalizi ya tuzo hizo.Mkurugenzi wa benki ya Wanawake Tanzania,Bi Margareth Chacha akizungumzia namna benki yake inavyoweza kuwasaidia Wanawake nchini,ambaye pia ni Mdau mkubwa wa Tuzo za Mwanamakuka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani