Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shirika lapiga jeki dawati la wanawake

SHIRIKA la misaada la Action Aid limetoa msaada wa vifaa mbali mbali, ikiwemo kompyuta kwa Jeshi la Polisi Mahonda Mkoa wa Kaskazini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Shirika laipiga jeki shule Mtwara

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli la China (CPTDC) kupitia mradi wake wa ujenzi wa bomba la gesi limetoa msaada wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia pamoja na vifaa vya michezo...

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake kupigwa jeki wawe wabunifu

MKURUGENZI wa Utafiti na Maendeleo kutoka Wizara ya Kilimo,Chakula na Ushirika, Dk Fidelis Myaka amesema wizara hiyo itaendelea kuwasaidia wanawake nchini kuwa na ubunifu wa kiteknolojia na zana za kilimo ili kuwapunguzia kazi na kuokoa muda wa kufanya kazi za nyumbani.

 

5 years ago

Michuzi

Wanawake Njombe wawapiga jeki mahabusu na wafungwa

Na Amiri kilagalila,Njombe Wakati baadhi ya wanawake wakiungana mkoani Njombe kuadhimisha siku ya wanawake duniani inayotarajiwa kufikia kilele chake hapo machi 8 mwaka huu,wananchi wametakiwa kuacha tabia ya kukataa kujitokeza kutoa ushahidi mahakamani ili kukamilisha upelelezi utakaosaidia kupunguza msongamano wa mahabusu na wafungwa gerezani. Kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Njombe katibu tawala wilaya bwana Emmanuel George baada ya kufika katika gereza la wilaya ya Njombe (Mpechi) na...

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA WANAWAKE TANZANIA YAJITOSA KUPIGA JEKI MAANDALIZI YA TUZO YA MWANAMAKUKA 2014

 Meneja Mradi wa Mwanamakuka Bi.Maryam Shamo akizungumzia maandalizi ya tuzo hizo.Mkurugenzi wa benki ya Wanawake Tanzania,Bi Margareth Chacha akizungumzia namna benki yake inavyoweza kuwasaidia Wanawake nchini,ambaye pia ni Mdau mkubwa wa Tuzo za Mwanamakuka

 

9 years ago

Mwananchi

Shirika kuwawezesha wanawake kilimo cha mboga

Shirika lisilo la kiserikali la Helveras Tanzania linatarajia kutumia zaidi ya Sh2.7 bilioni kugharimia mradi wa kuwawezesha wanawake katika kilimo cha mbogamboga na masoko ulioanza mwaka huu unaotarajiwa kumalizika 2017.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanzilishi wa shirika la maarufu za misaada L'Arche, Jean Vanier alinyanyasa wanawake.

Ripoti ya shirika la L'Arche imebaini kwamba Jean Vanier, aliyekufa mwaka jana alinyanyasa wanawake kwa miongo kadhaa.

 

5 years ago

Michuzi

Tazama jinsi Shirika la CAMFED Tanzania lilivyoadhimisha siku ya Wanawake Duniani

Wana CAMA ni mtandao wa wasichana waliofadhiliwa na shirika la CAMFED kupata elimu. Katika kudhimisha siku ya Wanawake Duniani wana CAMA walijumuika na wanawake wengine katika wilaya za Kilosa, Gairo, Morogoro,  Ifakara, Kilombero, Kibaha, Chalinze, Rufiji, Kibiti, Kilolo, Handeni DC, Handeni TC, Iringa na Pangani,   kuadhimisha siku hiyo kwa kishindo.  Baadhi ya mabinti waliofadhiliwa na CAMFED (wana CAMA)  kusoma ufundi wa magari katika chuo cha wananchi Handeni (Folk Development...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE HANANG' WANUFAIKA NA MRADI WA KILIMO KUTOKA SHIRIKA LA OXFAM & UCRT



Felista Giyam mhasibu wa kikundi cha hamasa ameiomba serikali kuona uwezekano wa kutafuta masoko kwa mazao ya wakulima kwani wamekuwa wakilima kwa muda mrefu lakini wanakosa masoko hivyo kuwakatisha tamaa licha ya kukiri kuwa wamekuwa na faida kwa wastani japo soko linaendelea kuwa kikwazo licha ya kwamba pia wakulima wamekuwa wakitumia gharama kubwa katika pembejeo za kilimo

Anna Iselu mbaye ni mhasibu wa kikundi cha wanawake na vijana cha Gosanga anasema mradi huo utawafanya kutokuonekana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Helvetas kutumia Bilioni 2.7 kuwezesha Wanawake wa Singida katika kilimo cha Mboga na matunda

DSC05224

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Helvetas Tanzania, Daniel Kilimbiya, akitoa mada yake ya utambulisho wa mradi wa awamu ya pili wa kuwawezesha wanawake kulima mboga mboga na matunda ili waweze kujikomboa kiuchumi. Semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aqua Vitae mjini hapa, ilihudhurudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo kutoka wilaya ya Singida vijijini, Iramba na Mkalama.

DSC05204

Meneja SIDO mkoa wa Singida Shoma Kibende, akitoa nasaha zake kwenye semina ya siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani