Wanawake Njombe wawapiga jeki mahabusu na wafungwa
Na Amiri kilagalila,Njombe Wakati baadhi ya wanawake wakiungana mkoani Njombe kuadhimisha siku ya wanawake duniani inayotarajiwa kufikia kilele chake hapo machi 8 mwaka huu,wananchi wametakiwa kuacha tabia ya kukataa kujitokeza kutoa ushahidi mahakamani ili kukamilisha upelelezi utakaosaidia kupunguza msongamano wa mahabusu na wafungwa gerezani. Kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Njombe katibu tawala wilaya bwana Emmanuel George baada ya kufika katika gereza la wilaya ya Njombe (Mpechi) na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Mahabusu, wafungwa hawana haki Katiba mpya?
WATANZANIA tupo kwenye kipindi kigumu kihistoria kwa sababu tunatafuta Katiba mpya itakayotuongoza wote. Katiba tunayoitaka ni ile inayoeleza ni vipi Watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa, makundi...
10 years ago
GPLWAFUNGWA, MAHABUSU WASHANGILIA KUPEWA MAGAZETI YA GLOBAL
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qHLsR_KNJdY/XtI1mFhsWKI/AAAAAAALsEY/RmfNQ8Yh7OQi_EGjc7CPAdTuiVskSFAdQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2AAA-1-768x576.jpg)
SIMBACHAWENE: SERIKALI IPO KATIKA MCHAKATO KUHAKIKISHA MAHABUSU NCHINI WANAFANYA KAZI MAGEREZANI KAMA WAFUNGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHLsR_KNJdY/XtI1mFhsWKI/AAAAAAALsEY/RmfNQ8Yh7OQi_EGjc7CPAdTuiVskSFAdQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-2AAA-1-768x576.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0G7ITpVdaDY/XoDtp7QjeqI/AAAAAAALlf8/ARPHezphZS0vHKYf_kefAj4s6O2N6R2DACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200329_25680.jpg)
Shule za sekondari Njombe zapigwa jeki kompyuta,printa kuboresha elimu
Mbunge wa viti maalum mkoani Njombe kupitia chama cha mapinduzi Mhe, Neema Mgaya amekabidhi Kompyuta kumi zenye thamani ya milioni 17,370,000/=.kwa baadhi ya shule za sekondari mkoani Njombe ili kuboresha na kuinua taaluma katika mkoa huo.
Aidha mbunge huyo ametoa Printer mbili zenye thamani ya Tsh milioni 1,905,062, kebo nane kwaajili ya Umeme zilizogharimu kiasi cha Tsh, lakimbili na kufanya jumla ya vifaa vyote alivyovitoa katika ziara hiyo kufikia kiasi cha Tsh...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s72-c/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
WAZIRI KITWANGA, DKT. MWAKYEMBE WATEMBELEA MAGEREZA MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM, WAAHIDI KUBORESHA HUDUMA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU
![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s640/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oMX4SAEKjL0/VnY-mSPJAKI/AAAAAAAINbs/6Sat9yN0u10/s640/88b9a5e9-2bd0-455b-9776-6e6a62081bc3.jpg)
11 years ago
Habarileo27 Dec
Shirika lapiga jeki dawati la wanawake
SHIRIKA la misaada la Action Aid limetoa msaada wa vifaa mbali mbali, ikiwemo kompyuta kwa Jeshi la Polisi Mahonda Mkoa wa Kaskazini.
10 years ago
Habarileo30 May
Wanawake kupigwa jeki wawe wabunifu
MKURUGENZI wa Utafiti na Maendeleo kutoka Wizara ya Kilimo,Chakula na Ushirika, Dk Fidelis Myaka amesema wizara hiyo itaendelea kuwasaidia wanawake nchini kuwa na ubunifu wa kiteknolojia na zana za kilimo ili kuwapunguzia kazi na kuokoa muda wa kufanya kazi za nyumbani.
10 years ago
Habarileo21 Dec
Wafungwa wanawake Kingulwira waomba msamaha kwa Kikwete
WAFUNGWA katika Gereza Kuu la Wanawake la Kingulwira, Morogoro wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwapa msamaha katika gereza hilo kwa sababu wamejirekebisha.