Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino

Wakazi 12,280 wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamenufaika na ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyogharimu kiasi cha Sh5 bilioni kutoka Shirika la Kimataifa la Serikali ya Korea Kusini la Good Neighbours International (GNI).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Zaidi Sh5 milioni zilizodaiwa kuibwa Chamwino zarejeshwa

Zaidi ya Sh5.9 milioni zilizodaiwa kimeibwa na baadhi ya maofisa watendaji wa kata na vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma zimerejeshwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa wa wizi Sh5 bil wapunguziwa kifungo

Mahakama Kuu imebatilisha kifungo cha miaka 30 jela walichokuwa wakitumikia wafungwa watatu kwa uporaji wa Sh5.3 bilioni zilizoporwa Benki ya NBC na kuwa kifungo cha miaka mitano jela.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima 300 wa Kilosa, Chamwino kupigwa jeki

SERIKALI ina mpango wa kufikia wakulima 300 wa wilaya za Kilosa mkoani Morogoro na Chamwino mkoani Dodoma. Lengo la mpango huo ni kusaidia kutambua changamoto za kilimo zinazowakabili na namna ya kuzipatia suluhu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaya milioni moja kunufaika na Tasaf

WASTANI wa kaya milioni moja ambazo zinaishi katika hali duni ya umasikini nchini, zimelengwa kuwezeshwa katika kujikimu kimaisha katika utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kaya 2,944 masikini sana kunufaika

MPANGO wa kunusuru kaya masikini sana kupitia Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF lll) katika Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, unatarajia kunufaisha kaya 2,944.

 

11 years ago

Habarileo

Kaya 300 zatakiwa kuondoka eneo la reli Tazara

MAMLAKA ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), imetoa notisi ya kuondoka kwa zaidi ya kaya 300 zilizovamia eneo la reli kuanzia Dar es Salaam hadi Tunduma, mkoani Mbeya.

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MAJI BUKOBA, KAYA ZAIDI YA 18,103 SASA KUNUFAIKA

Mkuu wa wilaya Bukoba Deodatus Kinawiro akizungumza na wananchi wa mtaa wa Kisindi waliojitokeza katika uzinduzi wa vilula vya maji, leo.

Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Kaya Zaidi ya 18,103 zenye wakazi wapatao 90,517 Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera zinatarajia kunufaika na upanuzi wa mtandao wa maji kutokana na ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa kwa thamani ya shilingi bilioni 2.4 hadi kukamilika kwake.

Taarifa ya utekelezaji wa mradi huo imetolewa na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya TASAF yawainua wakazi Chamwino

WAKAZI wa Kijiji cha Ndogowe na Ng’ambaku katika Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, wamesema miradi inayosimamiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imekuwa mkombozi wa kuwaondolea umaskini. Aidha, walieleza...

 

10 years ago

Dewji Blog

TASAF yagawa bil 7.1/- kwa kaya maskini

DSC00251

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone (anayeangalia picha) akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na maafisa wa TASAF kutoka makao makuu na wa mkoa wa Singida.

DSC00245

DSC00265

Naibu Katibu mkuu ofisi ya rais Zuzana Mlawi (wa kwanza kushoto) akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa pamoja kati ya Mkuu wa mkoa na viongozi wa TASAF.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 7.1 bilioni kuhawilisha  kaya maskini 40,156...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani