Kaya milioni moja kunufaika na Tasaf
WASTANI wa kaya milioni moja ambazo zinaishi katika hali duni ya umasikini nchini, zimelengwa kuwezeshwa katika kujikimu kimaisha katika utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
TASAF III kuzifikia kaya milioni 1.2
KAYA milioni 1.2 zinatarajiwa kufikiwa na mpango wa serikali wa kusaidia kaya masikini awamu ya tatu (TASAF III) ili kuzinusuru katika Wilaya ya Chamwino, Dodoma. Akizungumza kwenye warsha ya kutoa...
10 years ago
Dewji Blog03 Mar
Rex Energy kupeleka umeme jua kwa kaya milioni moja na laki tano nchini
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Rex Energy Francis Khibhisa akizungumza wakati wa uzinduzi wa Teknolojia mpya ya umeme jua ya gharama nafuu ijulikanayo kama 3G+Solar Homes System (SHS). Katikati ni Paul Kiwele Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini,Mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Solaric Pvt Lt kutoka Bagladesh Didar Islam.
Na Mwandishi Wetu
Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini amezindua usambazaji wa Teknolojia ya Umeme...
10 years ago
MichuziREX ENERGY KUPELEKA UMEME JUA KWA KAYA MILIONI MOJA NA LAKI TANO NCHINI
11 years ago
Habarileo02 Aug
Kaya 2,944 masikini sana kunufaika
MPANGO wa kunusuru kaya masikini sana kupitia Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF lll) katika Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, unatarajia kunufaisha kaya 2,944.
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
TASAF kunususru kaya masikini
Na Mwandishi wetu
Mpango wa kunusuru kaya maskini wilayani Manyoni, Mkoani Singida, umeanndikisha kaya 8,113 kati ya kaya 8,404 zilizotambuliwa na mpango huo katika kipindi cha kuanzia Aprili hadi Julai,mwaka huu.
Kaimu Mratibu wa TASAF Wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Herilabert Sagali alisema mpango huo ulianzishwa kwa malengo mawili ambayo ni pamoja na kutambua kaya maskini na kuandikisha kaya maskini.
Kwa mujibu wa mratibu huyo malengo ni kujenga uwezo pamoja na kuwezesha kaya...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino
9 years ago
MichuziTasaf Manyara yasaidia kaya masikini
10 years ago
Habarileo15 Mar
TASAF Singida wahudumia kaya 40,200
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida umetumia zaidi ya Sh bilioni 4.2 katika kipindi cha miezi sita iliyopita ili kuhudumia kaya zaidi ya 40,200 kwenye mpango wake wa kunusuru kaya maskini mkoani humo.
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Tasaf kuzinufaisha zaidi kaya masikini