Kaya 300 zatakiwa kuondoka eneo la reli Tazara
MAMLAKA ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), imetoa notisi ya kuondoka kwa zaidi ya kaya 300 zilizovamia eneo la reli kuanzia Dar es Salaam hadi Tunduma, mkoani Mbeya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Kikwete, Lungu kuzungumzia uboreshaji wa reli ya Tazara
Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zambia, Edgar Lungu wanakutana mjini Lusaka, Zambia pamoja na mambo mengine, kuzungumzia uboreshwaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara).
10 years ago
Vijimambo26 Feb
Tanzania na Zambia zadhamiria kufufua Reli ya TAZARA
10 years ago
Habarileo30 Mar
Ujenzi wa reli kutoa ajira 300,000
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema Sh trilioni 14 zinatarajiwa kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha ‘standardgauge’, mradi ambao utakuwa ni mkubwa kutekelezwa na Serikali tangu ilipopata Uhuru.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino
Wakazi 12,280 wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamenufaika na ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyogharimu kiasi cha Sh5 bilioni kutoka Shirika la Kimataifa la Serikali ya Korea Kusini la Good Neighbours International (GNI).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RuBBafIJDkkE9J9sEYeuLIimTmXZUx8Mchxhre3rzcnpPSLdjZydRRaQwkgkA-A2wUGKkflEkAcaq4O8deqLi1/IMG20140901WA00081.jpg)
AJALI YA GARI ENEO LA TAZARA
Gari aina ya Toyota Landcruiser VX lenye namba za usajili T540 APN lililopinduka maeneo ya Tazara. Polisi akilitazama gari lililopata ajali eneo la tukio. Pichani juu na chini Wananchi wakishuhudia kwa karibu zaidi ajali mbaya iliyotokea maeneo ya Tazara.…
10 years ago
GPLWAFANYAKAZI RELI WASAFISHA ENEO LA STESHENI JIJINI DAR
Mwenyekiti wa Bodi ya TRL, Severin Kaombwe (kulia),  akihojiwa na wanahabari katika stesheni ya Posta jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la reli Eng. Elias A. Mshana. Wafanyakazi wa TRL wakijiandaa kuchukua vifaa vya kufanyia usafi eneo la stesheni.…
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA UCHUKUZI ATEMBELEA ENEO INAPOJENGWA RELI MPYA YA KISASA YA STANDARD GAUGE
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s72-c/IMG-20151015-WA0009.jpg)
TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s640/IMG-20151015-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8Zg2_nKNl8/Vh-LtVoQrMI/AAAAAAADA8k/nX0zBE9-wBs/s640/IMG-20151015-WA0015.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania